jouneGwalu
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 2,687
- 1,780
bado sijaona njia kuu za uchumi nchi hii zinazoendeshwa (owned) na private sector ambazo zina- perfom efficiently
Tuna vibwanyenye uchwara eti vinajiita vibapari....
Wanahujumu na kuua reli ili wafanye biashara ya Malori.... only in Tzanzania haki ya Mungu!