Nathubutu kusema nimeushinda uraibu

Nathubutu kusema nimeushinda uraibu

Hongera sana Mkuu.
Uraibu si Mchezo
Vijana wengi wanaangamia sana kwa Uraibu.
Wanashindwa kuacha.

Hongera sana kwa kuweza kuiacha hiyo kitu aisee.
 
Ulikuwa mraibu wa nin mbona umekimbia
Tabia zote za kiraibu zinafedhehesha sioni hata haja ya kusema ilimradi tu yoyote alie kwenye uraibu abaki na uelewa kuwa kila uraibu unaachika ila sio rahisi.
 
Back
Top Bottom