Nathubutu kusema nimeushinda uraibu

Nathubutu kusema nimeushinda uraibu

Kama umeacha punyeto nikuambie tu pole, maana umepishana na gari la mshahara.

Jumamosi ijayo tunazindua style mpya ya kunyetuka.

Yaani tunaanza upyaaaaaa!

Mbaga Jr, baelezee wananchi vile ambavyo sisi tunatarajia kufanya.

Aisome Al-mukheef, Harmful.
Usimwage kuku wengi Kwenye mchele.

Huyu dogo atajutia sana uamuzi wake wa kuacha nyeto mana Jmos ijayo itakuwa ya moto sana kwenye uzinduzi, na huwezi kuingia ukumbini bila kupiga bao tatu mfululizo mlangoni 😎
 
Hakuna kisichowezekana chini ya jua, nilijaribu kuacha nikashindwa nikaacha nikashindwa nikaacha nikashindwa x7 sabini ikafika muda nikakiri kuwa hakuna awezae kuacha uraibu huu, Lakini sikupenda uraibu huo hata kidogo, nikamshirikisha Mungu mara kibao lakini sikufanikiwa kwani nilipozidi sana ilikuwa not more than 30days kisha nikaanguka tena na kujilaumu.

Guess what? Niliamka tu siku moja nikauambia mwili nikijiangalia kwenye kioo kuwa “Nitakuongoza kwa akili na sio hisia tena, Utafanya kile akili inataka na sio hisia… Sitokuendekeza tena nitakuadhibu kwa maumivu na kukunyima kile unachohisi kuhitaji na utanitii”

Nikafanikiwa kwa week mbili za kwanza kisha nilipoona Mwili nimeumudu ndipo nikasema sasa niset goal kwa kutumia mobile app fulani inaitwa Iron Will na sasa nimefika siku ya 360 bila tabia ile mbaya and i’m okay kiakili na kimwili, Nimekuwa na uwezo wa kuongoza mwili wangu dhidi ya tabia ile na sioni nikianguka tena.

Kwahiyo tabia yoyote uliyonayo ambayo ni uraibu inaachika kwa maamuzi ya dhati kabisa. View attachment 3602548
Ulikuwa mraibu wa nin mbona umekimbia
 
vitu vinavyo ongoza kwa uraibu
1.kujichua/kujizini mwenyewe PUNYETO
2.ULEVI pombe,sigara,mihadharati madawa ya kulevya,mirungi
3.KAMARI michezo ya kubahatisha
4.Kununua NGONO,uzinzi,uasherati,umalaya
5.Kwenda kwa waganga wa kienyeji ukishaanza tu kukanyaga kwa mganga mmoja utawamaliza waganga wote wa ndani na nje ya nchi..mikoa yote
6.Mitume na manabii wa uongo..mafuta ya upako..kuombewa
7.Simba na Yanga
8.Michezo ya sinema za kuigiza,tamthiliya,series movies
9.Soda,energy drinks chips yai
10.Mikopo kausha damu ,vikoba,mikopo mikopo
 
Back
Top Bottom