we jamaa kwanza ni nani? umejiunga leo leo lakini unaonekana huna kamba mguuni. vipi id nyingine wameichukua wenyewe?
Hakuna aliyemfunika mwenzake sema kila mtu ana test yake hasa anapochora katuni na ujumbe wanaouwakilisha kwenye hadhira i like what they are doing both of them..
hahahahahaaa!!!
nimemuelewa jamaa. yupo cool sana hata ile id yake ya zamani hana nomaMkuu huyu ni mwenyeji ila amebadilisha nguo tu,zile za zamani zimechafuka.
Sasa mbona unaniuliza mi ni nani? Ukiona nipo too comfortable for a guest maana yake Paw was there. :lol:
jjionee mwenyewe
View attachment 47389
Wote ni wakali...hata hivyo Kipanya yuko kibiashara zaidi...so ukiacha umaarufu wake kama cartoonist bado ana mishe mishe kibao huko mjini na hivyo amepata umaarufu mkubwa zaidi nje ya hiyo Fani ya kuchora vibwenzo!