Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
ni picha nzuri but sijaelewa kwa nini unamlinganisha na kipanya...
Naona ni mzuri ila maandishi yamezidi. As an artist alitakiwa kutafuta namna ya kueleza kua yule mgonjwa kafa na haki yake ya kuishi imekanyagwa bila kutumia maneno...halingani na kipanya offcourse nimeuliza
Naona ni mzuri ila maandishi yamezidi. As an artist alitakiwa kutafuta namna ya kueleza kua yule mgonjwa kafa na haki yake ya kuishi imekanyagwa bila kutumia maneno...
we jamaa kwanza ni nani? umejiunga leo leo lakini unaonekana huna kamba mguuni. vipi id nyingine wameichukua wenyewe?
We ulitaka nikuombe ruhusa kabla ya kuchangia? :lol:
kwani watu wanaombaga ruhusa kabla ya kuchangia?
Awe mbunifu tu...asipende copy n paste
Sasa mbona unaniuliza mi ni nani? Ukiona nipo too comfortable for a guest maana yake Paw was there. :lol:
Nathan ni hawavumi lakini wamo, Kipanya ni habari nyingine
Sasa mbona unaniuliza mi ni nani? Ukiona nipo too comfortable for a guest maana yake Paw was there. :lol:
Hakuna aliyemfunika mwenzake sema kila mtu ana test yake hasa anapochora katuni na ujumbe wanaouwakilisha kwenye hadhira i like what they are doing both of them..
jjionee mwenyewe
View attachment 47389