Nimekuelewa,Nina bahati sana ya kuwapata warembo wa mitandaoni lakini tatizo wananila sana pesa ninazowatumia via tigo pesa. Wakizipata tu mawasiliano yanakatwa na anayekuja huwa anakuja na mwenzie halafu inakuwa ngumu kula kuku.
Naombeni ushauri enyi wataalamu.
We ni lofa. Unaweza kuwa unatumia pesa wanaume wenzio.Nina bahati sana ya kuwapata warembo wa mitandaoni lakini tatizo wananila sana pesa ninazowatumia via tigo pesa. Wakizipata tu mawasiliano yanakatwa na anayekuja huwa anakuja na mwenzie halafu inakuwa ngumu kula kuku.
Naombeni ushauri enyi wataalamu.
Nina bahati sana ya kuwapata warembo wa mitandaoni lakini tatizo wananila sana pesa ninazowatumia via tigo pesa. Wakizipata tu mawasiliano yanakatwa na anayekuja huwa anakuja na mwenzie halafu inakuwa ngumu kula kuku.
Naombeni ushauri enyi wataalamu.
duh nawew sikama wale wale tuuunjoo nkushauri kwa karibu, kwangu ukituma tigopesa nakuja peke yangu
towa number yako ya tigo nikutumiye nawewWe ni lofa. Unaweza kuwa unatumia pesa wanaume wenzio.
nifanyeje sasa dada angu?Usiwe mwepesi wa kuhonga...
poa mchungaji nimekuelewaOkoka,acha zinaa na umpe Yesu maisha yako,zaidi ukaishi kwa kulitumikia shauri la Mungu ktk maisha yako.
Hawaja kuibia unawapa kwa raha zako na tamaa yako ya fisi,wape tuu as long as unazo why not...Nina bahati sana ya kuwapata warembo wa mitandaoni lakini tatizo wananila sana pesa ninazowatumia via tigo pesa. Wakizipata tu mawasiliano yanakatwa na anayekuja huwa anakuja na mwenzie halafu inakuwa ngumu kula kuku.
Naombeni ushauri enyi wataalamu.
poa mjanja umeelewekaWajinga ndio waliwao
interesting...mnhhhhhhhhhhh
hahahahahahhahahahah jannah message yako imefika ni pm tigo number yako nikutumiyKwanini napata hisia kuwa ulichokiandika hapo ni indirect way ya kujitangaza unajua kuhonga
Labda mimi ndio sijaelewa vizuri mkuu ila tayari nimeshakuPM nahitaji huduma ya kuhongwa
@ The boss hata huruma hawanaSi wadada mnam tapeli
@ Elly wewe umenielewa broo ,hadi umeamua kuomba msaada huku ina maana kuna kitu umejifunza na akili yako imefunguka hongera sana,
sasa nadhani hawata kutapeli tena😀😀😀😀😀
nifunze kutongoza mkuuu kwanza wew demu ao m?Domo zegeeeeeee
Tayari mkuuhahahahahahhahahahah jannah message yako imefika ni pm tigo number yako nikutumiy