Nateswa na hawa wanawake wa mitandaoni

Nateswa na hawa wanawake wa mitandaoni

Nina bahati sana ya kuwapata warembo wa mitandaoni lakini tatizo wananila sana pesa ninazowatumia via tigo pesa. Wakizipata tu mawasiliano yanakatwa na anayekuja huwa anakuja na mwenzie halafu inakuwa ngumu kula kuku.

Naombeni ushauri enyi wataalamu.
Mmmh ndo kwamba hizo pesa unazo za mchezo sana eeeh
 
ili kumpata mwanamke alietulia through social networks fata hizi njia
1. mpe hela
2. mpe hela
3. mpe hela tu
4. we mpe hela
5. endelea kumpa hela tu
halafu uone kama atakuomba hela
 
Nina bahati sana ya kuwapata warembo wa mitandaoni lakini tatizo wananila sana pesa ninazowatumia via tigo pesa. Wakizipata tu mawasiliano yanakatwa na anayekuja huwa anakuja na mwenzie halafu inakuwa ngumu kula kuku.

Naombeni ushauri enyi wataalamu.
Kumbe una bahati sasa povu la nini? Endelea kubahatika mkuu
 
Pm yako ipo bize kwa sasa maana humu madanga kibao yanangojeaga thread kama izi
 
Kwanini napata hisia kuwa ulichokiandika hapo ni indirect way ya kujitangaza unajua kuhonga

Labda mimi ndio sijaelewa vizuri mkuu ila tayari nimeshakuPM nahitaji huduma ya kuhongwa

Sasa wewe umeijua siri badala ya kudeal nayo kimya kimya umeifichua, unajiongezea competition mkuu.
 
Sasa wewe umeijua siri badala ya kudeal nayo kimya kimya umeifichua, unajiongezea competition mkuu.
Hahahah
Kizuri share na wenzako mkuu

Mleta thread ana pesa za kutosha hata tukienda 100 uko PM
 
Hahahah
Kizuri share na wenzako mkuu

Mleta thread ana pesa za kutosha hata tukienda 100 uko PM

Kwa kweli, halafu wewe kila nikitaka kuku-PM naona kama hutanijibu naishia kuacha tu kuku-PM.

Nahisi leo itabidi tu.
 
Dah!! Nilishaga tumiwa sana hela kwenye m-pesa, tiGo-pesa na Airtel-Money

Yaani wanaume tuna madhaifu kweli

Mtu unamudanganya kwa uongo wa wa nje nje kabisa ila hata hasitukii.
Kumbe unahonga
Afu mi unanambiaga siku ukipata hela.... Au ndo wamekuchuna zimeisha
 
Kumbe unahonga
Afu mi unanambiaga siku ukipata hela.... Au ndo wamekuchuna zimeisha

Hivi umemwelewa vizuri kweli?

Kasema alikuwa anatumiwa yeye na wanaume.

Ukishaelewa nifafanulie zaidi, nimeogopa kumuuliza kitu.
 
Back
Top Bottom