Wanawake wa mitandaoni, asilimia kubwa huwa hawana nauli, hawana hela ya mafuta ya gari, wanaishi mkoa wa mbali na ulipo unapowahitaji, hawana hela ya kusuka, wana matatizo yaliyowapata ghafla tu baada ya kupanga appointment na picha unazotumiwa huwa tofauti na utakaekutana nae endapo mtafanikiwa kukutana.
Ni mambo ya kawaida, kikubwa umejifunza, sasa amka kutoka usingizini. Hiyo siyo bahati, ni swala kawaida, kila unaemtongoza hukubali, issue ni kukutana na wengi mnalizwa kwa style kama yako kwa natarajio kuwa mtatafuna watoto wakare sana kiafsa.