Siafu na Manga
JF-Expert Member
- Aug 5, 2013
- 2,892
- 8,971
hadi umeamua kuomba msaada huku ina maana kuna kitu umejifunza na akili yako imefunguka hongera sana,
sasa nadhani hawata kutapeli tena😀😀😀😀😀
sasa nadhani hawata kutapeli tena😀😀😀😀😀
Nina bahati sana ya kuwapata warembo wa mitandaoni lakini tatizo wananila sana pesa ninazowatumia via tigo pesa. Wakizipata tu mawasiliano yanakatwa na anayekuja huwa anakuja na mwenzie halafu inakuwa ngumu kula kuku.
Naombeni ushauri enyi wataalamu.
Acha kuguna guna hebu fanya kunitumia katigo pesa fastermnhhhhhhhhhhh
Please,wewe upo kwenye mtandao wa Badoo?Domo zegeeeeeee
Sipo...Ndo mtandao gani huo???Please,wewe upo kwenye mtandao wa Badoo?
Acha kuguna guna hebu fanya kunitumia katigo pesa faster
Hata mie TTCL ninayoSimu yangu ni TTCL
Ok,sawa!Sipo...Ndo mtandao gani huo???
nikurushie pesa?Hata mie TTCL ninayo
Eeeh nirushie pesa hukonikurushie pesa?
Asihonge ama?Badilika...
Hivi ndugu yangu huu ujinga utaendelea kuufanya mpaka lini? Yaan unakutana na mwanamke mtandaoni... unamwamini na unamtumia pesa ... ilihali hujawahi hata kumuona... hujawahi hata kukutana nae?Nina bahati sana ya kuwapata warembo wa mitandaoni lakini tatizo wananila sana pesa ninazowatumia via tigo pesa. Wakizipata tu mawasiliano yanakatwa na anayekuja huwa anakuja na mwenzie halafu inakuwa ngumu kula kuku.
Naombeni ushauri enyi wataalamu.
Asihonge kijinga jingaAsihonge ama?