Nateswa na hawa wanawake wa mitandaoni

Nateswa na hawa wanawake wa mitandaoni

hadi umeamua kuomba msaada huku ina maana kuna kitu umejifunza na akili yako imefunguka hongera sana,
sasa nadhani hawata kutapeli tena😀😀😀😀😀
 
Nina bahati sana ya kuwapata warembo wa mitandaoni lakini tatizo wananila sana pesa ninazowatumia via tigo pesa. Wakizipata tu mawasiliano yanakatwa na anayekuja huwa anakuja na mwenzie halafu inakuwa ngumu kula kuku.

Naombeni ushauri enyi wataalamu.

Ushauri gan unahtaj mkuu be specific maan kama ww ni mzee wa kuhonga endelea hvo hvo..........

[HASHTAG]#StepByStep[/HASHTAG]
 
Maisha ya kweri yapo kwa Mu God, sio zinaaa hakuna karn ya kua makn kama hii maana kila mtu anataka hela etiiii ko kuwa makn pia Mu God yeye ana tatizo tena unaigia bure kabisa kwenye emaya yake
 
Sema unajitesa mwenyewe. Wanakushikia ili uwatumie hizo hela
 
Nina bahati sana ya kuwapata warembo wa mitandaoni lakini tatizo wananila sana pesa ninazowatumia via tigo pesa. Wakizipata tu mawasiliano yanakatwa na anayekuja huwa anakuja na mwenzie halafu inakuwa ngumu kula kuku.

Naombeni ushauri enyi wataalamu.
Hivi ndugu yangu huu ujinga utaendelea kuufanya mpaka lini? Yaan unakutana na mwanamke mtandaoni... unamwamini na unamtumia pesa ... ilihali hujawahi hata kumuona... hujawahi hata kukutana nae?

usimwamini mtu yoyote mtandaoni... unless unamfahamu ... hata kama unatafuta mchumba.. usionyeshe kuwa una haja kiasi hiko, ndio maana wanatumia huo mwanya kukutapeli pesa.

Grow up... acha hiyo tabia.. ya kuamin wanawake wa mtandaoni kias hiko.
 
Back
Top Bottom