Technology
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 769
- 284
jamani
kama kuna anayejua dawa za kuweza kuniondolea kuona wachawi hasa usiku
anisaidie nateseka sana,maana kila siku naweza kuona wachawi 3-5 na mashart yake nikuwa nisiwasemeshe wala nisiwafanye chochote, mwenye kujua anipm tuwasliane zaidi.
hawawezi kunishtukia bado nazingatia masharti.
Hata mimi naweza kujibu!!!! Mtume Mohamad hatoi mapepo kisha yakatoka yakaendelea kutesa wengine.....Yeye huyaua kabisa...............................
Nenda pale kwa mama lwakatare milima wa moto dawa ipo tena ya milele
jamani
kama kuna anayejua dawa za kuweza kuniondolea kuona wachawi hasa usiku
anisaidie nateseka sana,maana kila siku naweza kuona wachawi 3-5 na mashart yake nikuwa nisiwasemeshe wala nisiwafanye chochote, mwenye kujua anipm tuwasliane zaidi.
Acha kulia lia kama juha, vunja mashart yao, ukimuona mchawi ukamtambua kuwa ni fulani ambaye kwa hali ya kawaida huwa anajifanya mtu mwema sana, chukua kiboko charaza bakora, msemeshe aache ujinga wake. Nadhani ukifanya hivyo watakuogopa na dawa ita-expire.
Thank god!jamani
kama kuna anayejua dawa za kuweza kuniondolea kuona wachawi hasa usiku
anisaidie nateseka sana,maana kila siku naweza kuona wachawi 3-5 na mashart yake nikuwa nisiwasemeshe wala nisiwafanye chochote, mwenye kujua anipm tuwasliane zaidi.
Tanguu lini pepo akamtoa pepo?
Thank god!
I have been looking for that things for long long time,e bana nilengeshe kwa huyo aliyekupa hiyo dawa.Maana mm naitafuta sana lol!
weka picha.
Hivi kwanini binadamu wengine mnapenda chokochoko?
Hivi ukiheshimu imani ya mwenzio utapungukiwa kitu gani?
Sometimes natamani kama binadamu wote tungekua mapagani tu labda machafuko na vita vya kidini visivyo na nyuma wala mbele visingekuwepo.
jamani
kama kuna anayejua dawa za kuweza kuniondolea kuona wachawi hasa usiku
anisaidie nateseka sana,maana kila siku naweza kuona wachawi 3-5 na mashart yake nikuwa nisiwasemeshe wala nisiwafanye chochote, mwenye kujua anipm tuwasliane zaidi.