Nateseka na punyeto sijui nitaiacha vipi

Nateseka na punyeto sijui nitaiacha vipi

Hiyo kitu ni tamu sana ukiwa ndo unaanza anza,but ikipita miaka utamu unakata,
 
Mie nilishindwa kabisa kuacha ila kwenye utawala huu nilijikuta naacha mwenyewe maana hisia zilikata, ukiweka picha ya demu flani kichwani ili uanze kupiga puchu ghafla hiyo picha inabadirika na kuwa kama ya Mzee naniliu.
mayawee!!!
 
ubaya wa hii kitu unaeza ukasema leo ndo mara ya mwsho nikipiga sipigi tenaa...kesho ukiamka tu unaanza kutafuta kavideo....me mwenyew nlipumzka siku mbili ila huu uzi naona umeliamsha dude ngoja nikatafte kavideo ka haja nipate burudan murua
duhh,,, kwahiyo lazima uwe na kavideo pembeni?
 
Mchezo mbaya sana huo, pia ni dhambi kupiga pull ina hathali kubwa sana hiyo kitu, Hasa ktk mfumo mzima wa afya pole sana mkuu
Dhambi kudhulumu mtu, kuuwa, kuiba, uongo, kuchukia watu na majirani, fitina na majungu, sasa kama wavuta kiungo chako mwenyewe mbele na nyuma dhambi ipo wapi? Kosa liko wapi?!
Acha uongo wewe...
 
Mie nilishindwa kabisa kuacha ila kwenye utawala huu nilijikuta naacha mwenyewe maana hisia zilikata, ukiweka picha ya demu flani kichwani ili uanze kupiga puchu ghafla hiyo picha inabadirika na kuwa kama ya Mzee naniliu.
Hahaaaa umenichekesha sana ujue
 
ubaya wa hii kitu unaeza ukasema leo ndo mara ya mwsho nikipiga sipigi tenaa...kesho ukiamka tu unaanza kutafuta kavideo....me mwenyew nlipumzka siku mbili ila huu uzi naona umeliamsha dude ngoja nikatafte kavideo ka haja nipate burudan murua
Kuna mtu alinishauri eti niondoke JF ,lakini kwa watu kama nyie nasema siktokiiii. Humu naongeza siku kwa kucheka.
 
Puli ni ugonjwa sugu mnoo...na karne hii ndio umeshamili kwa wingi..ndio maana matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume ni mengi mnoo..kila kukicha yanaongezeka mara dufu...ukitaka kuacha usiangalie pono wala picha yoyote ya mwanamke alio valia nusu uchi...
Successful candidate is not everyone. . To be successful 1st u have to be extraordinary person. .
 
aiseee huo mchezo wa kijinga sana ila kijana umezidi nakumbuka zamani hizo nilikuwa nikipiga moja ndo nitoke mpaka mwezi ukate au miezi nikaja kuleta mazoea ya kupiga week ila ilikuwa haizidi mara mbili na hapo ni kutkana na mabadiliko ya mfumo wa chakula. mbona mi nakaa mwenyewe mda mrefu sana na na niki saff internet nakutana na nude nyingi sana ila hata wazo haliko wewe naona unajiendekeza tu kijana wangu. POLE UTAKUJA KUPATA TATIZO LA BEST YANGU YAKE HAI SIMAMI ILA ANA MWAGA NA IKISIMAMA NI DAKIKA MBILI
 
aiseee huo mchezo wa kijinga sana ila kijana umezidi nakumbuka zamani hizo nilikuwa nikipiga moja ndo nitoke mpaka mwezi ukate au miezi nikaja kuleta mazoea ya kupiga week ila ilikuwa haizidi mara mbili na hapo ni kutkana na mabadiliko ya mfumo wa chakula. mbona mi nakaa mwenyewe mda mrefu sana na na niki saff internet nakutana na nude nyingi sana ila hata wazo haliko wewe naona unajiendekeza tu kijana wangu. POLE UTAKUJA KUPATA TATIZO LA BEST YANGU YAKE HAI SIMAMI ILA ANA MWAGA NA IKISIMAMA NI DAKIKA MBILI
Ww umepata madhara gani mapaka sasa.?
 
Back
Top Bottom