Nateseka na punyeto sijui nitaiacha vipi

Nateseka na punyeto sijui nitaiacha vipi

Hiyo punyeto picha unayotumia kuvuta hisia ya nani huenda nayo inachangia usiache punyeto
 
Usitukimbie mwenyekiti endelea kubaki kwa power
 
Daaah hatari sana maana iyo ni chronic masterbation, nadhani kila ukiwa pekeako mazingira yanaruhusu unajilipua kuacha easy tu ivo labda ukatwe mikono, Hapo cha kufanya.... Watao kusaidia uache ni watu wako wa karibu. Hata hapa najua napeteza mda kutype pengine unasoma hii comment huku unapiga puli
 
ubaya wa hii kitu unaeza ukasema leo ndo mara ya mwsho nikipiga sipigi tenaa...kesho ukiamka tu unaanza kutafuta kavideo....me mwenyew nlipumzka siku mbili ila huu uzi naona umeliamsha dude ngoja nikatafte kavideo ka haja nipate burudan murua
 
Nenda kwa wahaya mjomba buku tatu tu kiu yako inaisha na unasahau yote onyo ukiwaendekeza sana utakuwa utaki kuowa
 
Usiache ila kuwa advanced kidogo..tafuta milion 3 uagize samantha kutoka japan
 
Hakuna ambae anaweza kuku zuia hata upigiwe ngoma kwenye maskio, ila uwezo wa kuacha upo ndani yako yan we ndio mwenye uwezo wa kuamua kuacha ukitaka kuacha utaacha,ime cost wengi.
 
Mie nilishindwa kabisa kuacha ila kwenye utawala huu nilijikuta naacha mwenyewe maana hisia zilikata, ukiweka picha ya demu flani kichwani ili uanze kupiga puchu ghafla hiyo picha inabadirika na kuwa kama ya Mzee naniliu.
 
Back
Top Bottom