Nateseka na punyeto sijui nitaiacha vipi

Nateseka na punyeto sijui nitaiacha vipi

Toka mwaka 2008 mpaka leo ninaendelea na huu mchezo wa pull kila nikitaka kuacha ninashindwa yaani ninarudia,iko hivi siwezi kulala bila pull nikiamka ninapiga pull yaani hata shemeji yenu awepo asiwepo mwendo ni huo huo,sasa nikiwa ninakutana na mpenzi wangu huwa ninaunganisha magoli mawili,yaani performance haijawahi kushuka zaidi ya shemeji yenu aombe poo,akisema amechoka basi Mimi huyo bafuni ninaenda kujilipua,kiukweli sijui nita acha lini huu mchezo wa kupiga pull yaani nimekuwa teja wa pull
Acha mambo ya kijinga ww, punyeto haiachwi
 
Nadhani ww unafaa kuwa mwenyekiti wa CHAMA CHA PUNYETO TANZANIA (CHAPUTA),maana una experience ya kutosha....Kikubwa fanya mazoezi tu mkuu,jogging na mengine unayoyaweza
 
Dah!! Akakamchezo kanatesa watu.. Alafu ukishapiga hata mwanamke ambaye ulikuwa ufuatilia unaona kama ushalala nae huna hamu nae tena,alafu inaladha Ya kipekee sema ukishamaliza unapata maumivu sana ndio tatizo lake ... Mungu tusaidie
maumivu gani tena hayo
 
Kuna pastor ana kipindi clouds tv, nadhani jumapili saa mbili hivi. Nilimuona last week anaongelea hizi mambo. Anatoa Huduma ya counseling.

Unahitaji ushauri wa kitaalamu. Unaweza kwenda hospitali pia, nahisi urologist anaweza kukusaidia pa kuanzia. Wewe ni mwerevu sana kwa kutambua una tatizo, kukiri na kutafuta msaada. Hongera
 
Toka mwaka 2008 mpaka leo ninaendelea na huu mchezo wa pull kila nikitaka kuacha ninashindwa yaani ninarudia,iko hivi siwezi kulala bila pull nikiamka ninapiga pull yaani hata shemeji yenu awepo asiwepo mwendo ni huo huo,sasa nikiwa ninakutana na mpenzi wangu huwa ninaunganisha magoli mawili,yaani performance haijawahi kushuka zaidi ya shemeji yenu aombe poo,akisema amechoka basi Mimi huyo bafuni ninaenda kujilipua,kiukweli sijui nita acha lini huu mchezo wa kupiga pull yaani nimekuwa teja wa pull
Huna kazi mpuuzi wewe..
 
Back
Top Bottom