Acha mambo ya kijinga ww, punyeto haiachwiToka mwaka 2008 mpaka leo ninaendelea na huu mchezo wa pull kila nikitaka kuacha ninashindwa yaani ninarudia,iko hivi siwezi kulala bila pull nikiamka ninapiga pull yaani hata shemeji yenu awepo asiwepo mwendo ni huo huo,sasa nikiwa ninakutana na mpenzi wangu huwa ninaunganisha magoli mawili,yaani performance haijawahi kushuka zaidi ya shemeji yenu aombe poo,akisema amechoka basi Mimi huyo bafuni ninaenda kujilipua,kiukweli sijui nita acha lini huu mchezo wa kupiga pull yaani nimekuwa teja wa pull
Yule house girl ulifanikiwa kwenda kwao??? Hivi alikuwa analipa?Mi ugonjwa wangu kuchepuka sijui nitaacha lini
Kweli kabisaNadhani ww unafaa kuwa mwenyekiti wa CHAMA CHA PUNYETO TANZANIA (CHAPUTA),maana una experience ya kutosha....Kikubwa fanya mazoezi tu mkuu,jogging na mengine unayoyaweza
Dah!! Akakamchezo kanatesa watu.. Alafu ukishapiga hata mwanamke ambaye ulikuwa ufuatilia unaona kama ushalala nae huna hamu nae tena,alafu inaladha Ya kipekee sema ukishamaliza unapata maumivu sana ndio tatizo lake ... Mungu tusaidie
maumivu gani tena hayo
Wanaingia kama kwenye ile mitego ya panya ya kizamani ya nyaya hv ukiingia unaingia kirahisi ila kutoka sasa ndio mzikiChaputa kuongeza wanachama
kila kukicha
Wachambuzi wa mambo wanasema hujaacha bali umepumzikaSku nliyoacha pul nlishangilia
sana
Jipongeze mkuu japo siku moja upige tena kwa kuichaSku nliyoacha pul nlishangilia
sana
Huna kazi mpuuzi wewe..Toka mwaka 2008 mpaka leo ninaendelea na huu mchezo wa pull kila nikitaka kuacha ninashindwa yaani ninarudia,iko hivi siwezi kulala bila pull nikiamka ninapiga pull yaani hata shemeji yenu awepo asiwepo mwendo ni huo huo,sasa nikiwa ninakutana na mpenzi wangu huwa ninaunganisha magoli mawili,yaani performance haijawahi kushuka zaidi ya shemeji yenu aombe poo,akisema amechoka basi Mimi huyo bafuni ninaenda kujilipua,kiukweli sijui nita acha lini huu mchezo wa kupiga pull yaani nimekuwa teja wa pull