leodigardcyrilo
JF-Expert Member
- May 17, 2015
- 3,408
- 1,820
Oa acha kuangalia pono
Ulifanyeje nipe maujanjaSku nliyoacha pul nlishangilia
sana
Kuna kipindi nilikuwa ninajisikia hivyo lakini siku hizi fresh tuuPully is a great destroyer of mens health, yaan inaharibu kila kona, anzia kisaikolojia, afya yaan mkuu siku si nyingi utaugua mgongo, na kwa sasa lazima wewe unahisi uchovu all the time
Mimi sipati maumivu maana ninakunywa maji ya kutoshaDah!! Akakamchezo kanatesa watu.. Alafu ukishapiga hata mwanamke ambaye ulikuwa ufuatilia unaona kama ushalala nae huna hamu nae tena,alafu inaladha Ya kipekee sema ukishamaliza unapata maumivu sana ndio tatizo lake ... Mungu tusaidie
Asante sanaKuna pastor ana kipindi clouds tv, nadhani jumapili saa mbili hivi. Nilimuona last week anaongelea hizi mambo. Anatoa Huduma ya counseling.
Unahitaji ushauri wa kitaalamu. Unaweza kwenda hospitali pia, nahisi urologist anaweza kukusaidia pa kuanzia. Wewe ni mwerevu sana kwa kutambua una tatizo, kukiri na kutafuta msaada. Hongera
AsanteFanya meditation (tahajudi). Kila siku ule muda unataka kulala na wakati umeamka Tu, tenga dakika 5 au 10, kaa utulie na utulize mawazo yako. Ukiwa na uhakika kuwa mawazo yako hayachezichezi tena anza ktutamka sentensi fupi yoyote ile utakayoipenda wewe ambayo ndani yake utaweka nia hiyo ya kuacha punyeto. Mfano waweza Sena "Mimi sina Tabia yoyote mbaya juu ya mwili wangu" rudia sentensi hiyo taratibu ukiwa unamasnisha (,usitumie nguvu yoyote kimwili au kiakili wakati unatamka).
Nilikuwa na tatizo kama lako ila lilikwisha tena kirahisi sana.
NB; matokeo yanategemea na utulivu wako na nia yako ya dhati wakati unameditate. Ukifanya kijingajinga utarudi tena kulialia hapa.
Ukistaajabu ya musa
Utayaona ya firauniUkistaajabu ya musa