Nateseka jamani na mapenzi!

Nateseka jamani na mapenzi!

Mapenzi huwa yanaingia taratibu...Kutokupokea simu ama kujibu mkato ni mambo ya kawaida mwanzoni mwa mahusiano...Mbona wadada hufanya sana hayo wakati wakiangalia kama anayehusika yupo serious ama la...?

Kama amekwambia kuwa hakuhitaji, anakujibu hovyo hovyo...waweza sepa...hiyo ni point of no return...Lakini kwa hiyo "biringe bayoyo biringe...." komaa tu mpendwa!

Ni heri kumshawishi unayempenda akupende... kuliko kujilazimisha kumpenda mtu usiyempenda!!
 
nimetokea kumpenda mkaka mmoja, ananitesa sana jmn nikitaka kumpigia cm anasema hana mud ya kuongea na cm nikimtext anajb short nifanyeje 4real nampenda toka moyoni kabisa nampenda sana, hajal hisia zangu nisaidien mawazo nifanyeje?

Umeshawahi kukutana na Boflo au Erickb52??:bange:
 
Last edited by a moderator:
pole sana kwakuwa umependa husipopendwa, kiukweli najua hutapenda nitakalokwambia ila my dear unapoteza mda wako. ni mbaya sana sana kumpenda mtu ambaye hana kabisa mpango na wewe kwani hatabadili msimamo wake, kwahiyo wewe jitahidi umuondoe kwenye mawazo yako hata kama una uchungu kiasi gani ni bora kuliko kuendelea kuumia for the rest of your life. utapata wa kwako na atakuwa anakupenda na siwewe kustrugle for love. kama ni wa kwako will surely come back.
 
nimetokea kumpenda mkaka mmoja, ananitesa sana jmn nikitaka kumpigia cm anasema hana mud ya kuongea na cm nikimtext anajb short nifanyeje 4real nampenda toka moyoni kabisa nampenda sana, hajal hisia zangu nisaidien mawazo nifanyeje?

Hii dunia bwana sijui imekaaje, mambo yamekaa kinyumenyume tu. Wenye mapenzi ya kweli hawapendwi, wanaopendwa nao hawapendeki, yani alimradi tabu tu.
 
Jack kwnn unataka kuharibu ndoa ya watu, plz kaa mbali na huyo mkaka, plz.....!
nimetokea kumpenda mkaka
mmoja, ananitesa sana jmn nikitaka kumpigia cm anasema hana mud ya
kuongea na cm nikimtext anajb short nifanyeje 4real nampenda toka moyoni
kabisa nampenda sana, hajal hisia zangu nisaidien mawazo
nifanyeje?
 
nimetokea kumpenda mkaka mmoja, ananitesa sana jmn nikitaka kumpigia cm anasema hana mud ya kuongea na cm nikimtext anajb short nifanyeje 4real nampenda toka moyoni kabisa nampenda sana, hajal hisia zangu nisaidien mawazo nifanyeje?

naona unapata majibu meeeengi wakati hujaeleza jambo la msingi. "JE WEWE NI MZURI?" i mean una "MVUTO?"
 
we badara ya kufikilia zero za kidato cha nne,una leta habari za kuteswa kimapenzi....kamueleze ana makinda atakuelewa..
 
nimetokea kumpenda mkaka mmoja, ananitesa sana jmn nikitaka kumpigia cm anasema hana mud ya kuongea na cm nikimtext anajb short nifanyeje 4real nampenda toka moyoni kabisa nampenda sana, hajal hisia zangu nisaidien mawazo nifanyeje?
Acha kupenda mahansam buoy wa kuuzia nao sura..hasa hasa kama wewe ni wa kawaida kujilingnisha na yeye..utaakaaaa uumie tu tafuta wa level zako uende nae sawa mambo yaishe..after all kwan umeambiwa na mganga ukiwa na huyo jamaa utakua tajiri ka oprah winfrey..over..ni ushauri tu huu...adios..!!
 
huyo uliiompenda ndo alikupa mimba ama ulimoenda mwingine ukiwa na mimba ya mwingi

BONGODASLAM
 
Nyie wenye majina ya Jack..................... historia ya majina yenu haiwa fevi!
 
Chapa lapa ww km vp kitegeshe alambe afu ukitulize.
Mpishe mwnzio atakuw na wke wa moyoni tutolee lana hpa.
 
Mmh pole sana hii dunia imekaa kinyume unaemtaka hakutaki ucemtaka anakutaka
 
Daaaaa... sijui inakuaje mpaka unafikia stage hiyo... anyway ngoja nika 'gugu' mtandaoni...
 
Kwa hiyo huyu mkaka ndo alikuja kukupa ujauzito uliokuwa unahangaika nao kwwnda had arusha na kutelekezwa....
Akili za kushauriwa changanya na zako
 
Du kumbe umenitangazia hapa jf mm ninao ukimwi naogopa kukupa ukimwi ndo maana cjibu SMS xako
 
Endelea kumsumbua mpe na papuch,,akishakumega ndo utajuwa mapenzi yako na rangi gani
 
Endelea kumsumbua mpe na papuch,,akishakumega ndo utajuwa mapenzi yako na rangi gani

we mbona ulimegwa sana sasa upo na mkurya mwache tumfundishe lovelife atajuta kushobokea ruff ryders
 
Usipende kulazimisha mapenzi, labda huyo unayemlazimisha akupende wewe anaye wake anayempenda sana!
 
Back
Top Bottom