Mie nashangaa
Ukitaka kujua haya, nenda pale pa kupimia DNA, wanamme wanalea mamluki kibao toka kwa wake zao.
DUnia hii lazima uwe unajua unachotaka, kama ni kujilipua na uko comfortable unajilipua, mme wa mtu kitu gani, watu wanajilipua na akina baba paroko!!!
KAma ndoa ni ya Romeo ana Julieth, huyu Romeo anafuata nini kwa Fatuma??
Amka leo anza kutafuta mchumba tena ikiwezekana tangaza hapa JF. Utaishi kwa short course mpaka lini? Swali ni mpaka lini? Au unataka aje akupe mimba na kufuta ndoto yako ya kupata wa peke yako aka Mume? ( kwa maelezo yako inaonesha kabisaa hamtumii condom)
Hapa ndipo naamini kuwa mahawara hawaachani
Nafikiri Lugha nzuri hapa ingekuwa ni kwamba kanisa haliruhusu mke zaidi ya mmoja. Lakini wakristo as individuals wanaoa tu. Sema mme anayeamua kuongeza mke wa pili, plus huyo mwanamke aliyekubali kuwa mke wa pili, watatengwa kwenye meza ya bwana, which is not a big deal.
Man, there are already 1 million more women than men in Tanzania. Ukisema uamini kwamba kila asiye na mme basi mme wake ataletwa, hawa milioni moja zaidi watatoa wapi hao waume? Mungu alikuwa na makusudi ya kuwafanya wanawake kuwa wengi zaidi kuliko wanaume. Waache wabanane kwa hao hao wanaume wachache, kama Mungu angejua hiyo ni dhambi basi angewaumba wanaume na wanawake kwa idadi sawasawa.
Siyo lazima awe muislam. Kwani wakristo wangapi wana mke zaidi ya mmoja? Kama vipi nyie halalisheni tu, mkafunge ndoa ya bomani. Sioni ubaya katika hilo. Hii habari ya mke mmoja ni sheria ya kanisa tu, haina madhara yoyote kiimani. Kwa uelewa wangu wa biblia, ni askofu tu ndiyo amezuiwa kuoa mke zaidi ya mmoja.
Siyo lazima awe muislam. Kwani wakristo wangapi wana mke zaidi ya mmoja? Kama vipi nyie halalisheni tu, mkafunge ndoa ya bomani. Sioni ubaya katika hilo. Hii habari ya mke mmoja ni sheria ya kanisa tu, haina madhara yoyote kiimani. Kwa uelewa wangu wa biblia, ni askofu tu ndiyo amezuiwa kuoa mke zaidi ya mmoja.
Hehe, huyohuyo Paulo katika 1Timotheo anamwambia Timotheo mtu akitaka kazi ya Askofu ataka kazi njema, lakini condition mojawapo ni kwamba awe ni mme wa mke mmoja. Kwa hiyo Paulo alijua kwamba wasio maaskofu wanaweza kuwa na mke zaidi ya mmoj. Hizi theory za kanisa sometimes hovyo kabisa. Watu wanazuiwa wasioe mke zaidi ya mmoja ilihali wanawake ni wengi zaidi kuliko wanaume. Hao wanawake wanaozidi wataolewa na nani, au wao hawapendi ngono au kuwa na familia? Matokeo ya huu utaratibu wa kuwazuia watu kuoa, ndiyo tunashuhudia nyumba ndogo kama utitiri huko mitaani. Kanisa lirekebishe sheria zake, na liache kumrefer sana Paulo. Lianzie kwenye agano la kale, ambako hata baba wa imani, Ibrahimu alizaa na mjakazi wake, so alikuwa na mke wa nyongeza, na bado akahesabiwa haki. Akina Daudi ambao ni reference mhimu ya utumishi wa Mungu, akina Seleman nk, wote hawa walikuwa ndiyo mabingwa wa kuwa na wake wa kumwaga, na hakuna mahali popote ambapo biblia inasema walihukumiwa kwa kosa hilo.ephesians 5:31- for this reason a MAN will leave his father and mother and be united to his wife and the two will become one
1 corithians 7:2 but since sexual immorality is occuring each man should have sexual relations with his own wife and each woman with her own
Si amesema huyo kijana alisoma seminari? Kwa hiyo sio mwislamu kakaKama ni waislam uolewe mke wa pili.....
Man, there are already 1 million more women than men in Tanzania. Ukisema uamini kwamba kila asiye na mme basi mme wake ataletwa, hawa milioni moja zaidi watatoa wapi hao waume? Mungu alikuwa na makusudi ya kuwafanya wanawake kuwa wengi zaidi kuliko wanaume. Waache wabanane kwa hao hao wanaume wachache, kama Mungu angejua hiyo ni dhambi basi angewaumba wanaume na wanawake kwa idadi sawasawa.
"Watch your back" andMume wa mtu ni mtamu tena ni mtamu haswaa hilo ndo jibu la sisi tunaotembea na waume wa watu
Shoga endelea nae we so wa kwanza na wala so wa mwisho,ila heka heka ya kina GEA uwage tayari yakikukuta,ila kwa sasa endeleeni kukumbushiana enzi za kutomasana secondary