Natarajia kufunga ndoa mwezi wa nne

Natarajia kufunga ndoa mwezi wa nne

Ndugu zanguni wana JF, napenda niwashirikishe furaha yangu kuwa mwezi wa nne nakaribia kufunga ndoa.
Nakaribisha michango ya hali na mali.
Asanteni
hongera sana! weka namba ya simu (pesa mtandao)tunaweza kukupatia chochote kitu!
 
hongera sana , ila walioko ndani wanatamani kutoka na walioko nje wanataman kuiingia kazi kwako
 
safi sana,ila jipange mkuu,ndoa ni zaidi ya uijuavyo
 
Ndugu zanguni wana JF, napenda niwashirikishe furaha yangu kuwa mwezi wa nne nakaribia kufunga ndoa.
Nakaribisha michango ya hali na mali.
Asanteni
Wewe ni he or she?
 
Hongera san giLESi I WISH HAPPINESS IN YOUR WEDDING DAY.
 
Last edited by a moderator:
Dada giLESi natumai hamjachakachuana bado maana ndoa za siku hizi haziqualify kuitwa ndoa...!!!!
 
Last edited by a moderator:
Dada giLESi natumai hamjachakachuana bado maana ndoa za siku hizi haziqualify kuitwa ndoa...!!!!
 
Last edited by a moderator:
Hongera sana kwa kuchukua uamuzi mgumu ambao wengi huushindwa,maisha ya ndoa ni safari ndefu hivyo jiandae kwa safari hiyo maana katikati ya safari wengi huamua kurudi baada ya kukutana na vikwazo.
Jipange.
 
Kila la kheri giLESi! Mungu akutangulie!

Ndugu zanguni wana JF, napenda niwashirikishe furaha yangu kuwa mwezi wa nne nakaribia kufunga ndoa.
Nakaribisha michango ya hali na mali.
Asanteni
 
Last edited by a moderator:
Karibu sana Dada giLESI kwenye chama chetu, tunafuraha ya kufahamu kuwa wee ni mmoja wetu katika chama chetu. Usiogope, kama uonavyo nchi ina Rais na makamu, na sheria zake, basi na wewe ndoa yako ni nchi yenye Rais na makamu na sheria zake. USIINGIE KWENYE NDOA NA MIZANI YA EVA, Nina maana gani , kuwa usiige ndoa ya shogayako ukaleta kwako. ya kwako fanya kama ya kwako.
Mwiko kutoa siri za ndani kuwaadithia mashoga zako.

MEGINE MENGI NITAKUJA KWENYE KITCHEN PART NITAKUGUSIA.
 
Hongera sana mkuu. Wale wa zamani wote (kama walikuwepo) kata mawasiliano nao na wala "usiagane" nao.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom