Karibu sana Dada giLESI kwenye chama chetu, tunafuraha ya kufahamu kuwa wee ni mmoja wetu katika chama chetu. Usiogope, kama uonavyo nchi ina Rais na makamu, na sheria zake, basi na wewe ndoa yako ni nchi yenye Rais na makamu na sheria zake. USIINGIE KWENYE NDOA NA MIZANI YA EVA, Nina maana gani , kuwa usiige ndoa ya shogayako ukaleta kwako. ya kwako fanya kama ya kwako.
Mwiko kutoa siri za ndani kuwaadithia mashoga zako.
MEGINE MENGI NITAKUJA KWENYE KITCHEN PART NITAKUGUSIA.
Ndugu zanguni wana JF, napenda niwashirikishe furaha yangu kuwa mwezi wa nne nakaribia kufunga ndoa.
Nakaribisha michango ya hali na mali.
Asanteni
Karibu sana Dada giLESI kwenye chama chetu, tunafuraha ya kufahamu kuwa wee ni mmoja wetu katika chama chetu. Usiogope, kama uonavyo nchi ina Rais na makamu, na sheria zake, basi na wewe ndoa yako ni nchi yenye Rais na makamu na sheria zake. USIINGIE KWENYE NDOA NA MIZANI YA EVA, Nina maana gani , kuwa usiige ndoa ya shogayako ukaleta kwako. ya kwako fanya kama ya kwako.
Mwiko kutoa siri za ndani kuwaadithia mashoga zako.
MEGINE MENGI NITAKUJA KWENYE KITCHEN PART NITAKUGUSIA.
Mh! :confused2::confused2::confused2::confused2:!!!!!!!!!!!!!!!! una maana gani???????????????????Penzi lako ulilonipa jana saa sita usiku lilikuwa tamu mno
Mh! :confused2::confused2::confused2::confused2:!!!!!!!!!!!!!!!! una maana gani???????????????????
Kuota???????????? Naenda kukusemea kwa mume wangu kuwa unaniota.Ohhhhhhhhh sorry nilikuwa naota