Natangaza rasmi ndoa na janeth1

Natangaza rasmi ndoa na janeth1

wif zangu Amu, Arabela, kokutona njoon mmwone uyu ananavonifanya..

Hahahaaa maneno gani tena haya? waje waone ninavyokufanya!!! mwongozo tafwazwali KOKUTONA unaitwa huku mimi simuelewi huyu wifi yetu jamani kiswahili hiki ndo kaka yetu Mwanyasi anamfundisha?
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaa maneno gani tena haya? waje waone ninavyokufanya!!! mwongozo tafwazwali KOKUTONA unaitwa huku mimi simuelewi huyu wifi yetu jamani kiswahili hiki ndo kaka yetu Mwanyasi anamfundisha?

Inaonesha mada ya utata ukiwa shule ulkmbia, na languag acodng 2the envronment uliichepuka pia ukiunganisha hvyo v2 utajua namanisha nn.. My husband ksw hawez mie ndo namfundsha, karbu hom bas..
 
Last edited by a moderator:
Inaonesha mada ya utata ukiwa shule ulkmbia, na languag acodng 2the envronment uliichepuka pia ukiunganisha hvyo v2 utajua namanisha nn.. My husband ksw hawez mie ndo namfundsha, karbu hom bas..

Halafu wewe yaelekea bado utoto wakusumbua utaandikaje ksw wakati kiswahili mtu m2 kuwa mkubwa bhana wifi hahahaa
 
Inaonesha mada ya utata ukiwa shule ulkmbia, na languag acodng 2the envronment uliichepuka pia ukiunganisha hvyo v2 utajua namanisha nn.. My husband ksw hawez mie ndo namfundsha, karbu hom bas..

Bhana hujui kuandika au bado utoto wakusumbua? mtu-m2 kiswahili-ksw use your comon sens mama Mwanyasi mfundishe mkeo bhana mbona anatia aibu huku au ndo mapozi yenyewe?
 
Last edited by a moderator:
Bhana hujui kuandika au bado utoto wakusumbua? mtu-m2 kiswahili-ksw use your comon sens mama Mwanyasi mfundishe mkeo bhana mbona anatia aibu huku au ndo mapozi yenyewe?

Haya mama sijazoea kubshana songa mbele naona upo kwajil ya kuharbu sherehe tangu awali nishakusoma.
 
Last edited by a moderator:
Inaonesha mada ya utata ukiwa shule ulkmbia, na languag acodng 2the envronment uliichepuka pia ukiunganisha hvyo v2 utajua namanisha nn.. My husband ksw hawez mie ndo namfundsha, karbu hom bas..

Just jockng lakini kuna kaukweli fulan hapo utanisamehe kama nitakuudhi wifi lakini!
 
Kumbuka sina maandishi bhana sory my dear wifi kama nimekuboa

Nikiwa nafundwa niliambiwa niwe makin na mawif wa aina kama yako, napaswa kuwapenda wote wif awe mkorof awe mwema bado wote ni ndugu zangu hivo nakupenda wif vile ulivo uzur nimeshawasoma wif zang wote sitapata shda.
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaa maneno gani tena haya? waje waone ninavyokufanya!!! mwongozo tafwazwali KOKUTONA unaitwa huku mimi simuelewi huyu wifi yetu jamani kiswahili hiki ndo kaka yetu Mwanyasi anamfundisha?

Halafu wewe yaelekea bado utoto wakusumbua utaandikaje ksw wakati kiswahili mtu m2 kuwa mkubwa bhana wifi hahahaa

Bhana hujui kuandika au bado utoto wakusumbua? mtu-m2 kiswahili-ksw use your comon sens mama Mwanyasi mfundishe mkeo bhana mbona anatia aibu huku au ndo mapozi yenyewe?

Just jockng lakini kuna kaukweli fulan hapo utanisamehe kama nitakuudhi wifi lakini!

Kumbuka sina maandishi bhana sory my dear wifi kama nimekuboa

Maneno kama haya sikuyategemea kwenye sherehe hii,
nadhani umekasirika kisa umekimbiwa na waume kama wa4, dada yangu we kapumzike tu, tuache tusherekee na mke wangu janeth1
 
Last edited by a moderator:
Eeh sebho hata kunambia nduguyo???

Hivi kweli mimi harusi yako ni wa kuisikia redioni?

Ejhoooo ghwamwitu, uhobhokele nilipitiwa sebho, samahani sana wanakamati walipitiwa na mimi nikapitiwa.
Mke wangu janeth1 huyu ni ndugu yangu kabisaaa hivo shemeji yako wa karibu sana.
 
Last edited by a moderator:
Maneno kama haya sikuyategemea kwenye sherehe hii,
nadhani umekasirika kisa umekimbiwa na waume kama wa4, dada yangu we kapumzike tu, tuache tusherekee na mke wangu janeth1

Pole sana nipo na mume wangu kipenzi Viol kwahiyo tulia halafu wine zimeisha sijui unasaidiaje hapo
 
Last edited by a moderator:
Nikiwa nafundwa niliambiwa niwe makin na mawif wa aina kama yako, napaswa kuwapenda wote wif awe mkorof awe mwema bado wote ni ndugu zangu hivo nakupenda wif vile ulivo uzur nimeshawasoma wif zang wote sitapata shda.
Ahsante kwa tabia hii nzuri na upendo,
endelea kuwa muungwana my sweety utaishi na watu wa aina zote duniani.
 
Nikiwa nafundwa niliambiwa niwe makin na mawif wa aina kama yako, napaswa kuwapenda wote wif awe mkorof awe mwema bado wote ni ndugu zangu hivo nakupenda wif vile ulivo uzur nimeshawasoma wif zang wote sitapata shda.

Nakupenda pia mama ni utani tu nipo nakunywa red wine hapa nakuona unavyotabasamu hapo
 
Nikiwa nafundwa niliambiwa niwe makin na mawif wa aina kama yako, napaswa kuwapenda wote wif awe mkorof awe mwema bado wote ni ndugu zangu hivo nakupenda wif vile ulivo uzur nimeshawasoma wif zang wote sitapata shda.

Wera wera wifi tumepata haswa....
He he he ngoja nkakutangazeeeeeeeee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom