ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,758
- 9,589
Nilijua tu umemmwaga mwalu unakimbilia vikinda shauriro
baada ya kukaa kwa muda mrefu bila mke, leo natangaza rasmi kuwa janeth1 ni mrs. Mwanyasi.
Taarifa kwa mwenyekiti baba v na rais arushaone wakiwa viongozi wetu.
Dada na kaka zangu kokutona amu arabela lady doctor watu8 kaizer judgement ynnah asprin demba chocs filipo heaven on earth mtoto halali na hela na marafiki wote.