mbeya yetu
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 487
- 102
hahaha asante shem.Nimemwona my, karbu shem.
hahaha asante shem.Nimemwona my, karbu shem.
Asante wif naztaka hzo raha na mie.
Mbona umetushtukiza ivo Mwanyasi?
ooh my dear waoh nafrah, karb sana wif zang na shemej zang nawapenda wote.
umeona eeeeh
yupo kwenye sherehe huku shida zote katua chini
Ha ha ha ha haaaaa!Mkwe wangu wa thamani,
mkwe twende kukaja.
Ahsanteeeeeee....Hongera sana mie bado natafuta mume
Wala sikutaki wewe ntampata nimpendaye na anaenipenda kwa dhati harusi njemaHa ha ha ha haaaaa!
Nani kakuambia hiii.....!!!!!!!
Tunahitaji wosia wako mzazi.
Ahsanteeeeeee....
wataka mme tena humu kwenye harusi?
Mimi ndo nimeshaoa hivo wala sioi mwingine janeth1 anatoshaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!