hivi kikao kiliisha salama leo maana wale wakorea waliniondolea mood?
Angenioaje wakati nilikua nakuyegemea wewe
ha ha ha ha niliju tu yule mkorea mrefu ni mbishi sana, haya tunaanza saa ngapi?
ha ha ha ha niliju tu yule mkorea mrefu ni mbishi sana, haya tunaanza saa ngapi?
mbona siwaelewi nyie?
kama unataka kuwa nyumba ndogo sema ili nimuombe bi mkubwa janeth1 (the first one and the one) kama ataafiki atoe maelekezo
Utaelewa tu usijali
8:00 AM,tena kitachkua mda mrefu zaidi yaleo. Mkorea kachachamaa mbaya
'Valentina' mwongozo umetolewa na mke wangu hata mimi nimekubaliana nao, hivyo tafadhali ni heshimu kama mme halali wa janeth1
mke wangu hata kazini siendi!?
kesho hunyanyui mguu hum ndan lasvyo mguu wang mguu wako mmenichefua..
msamehe mama harudii tena.
mke wangu mpenzi kazini si nitaenda?