Valentina
R I P
- Oct 12, 2013
- 24,688
- 28,849
nafrahi kama umecheka, niko poa mamito mie na my husband pia hajambo naamini umzima pia.
Mie niko biyee kabisa
nafrahi kama umecheka, niko poa mamito mie na my husband pia hajambo naamini umzima pia.
Weee ishia hapohapo bibi we!
nakuona kwenye sidemirros unataka ku-overtake gari yetu!!!
mke wangu janeth1 kanyaga mafuta ya kutosha maana huwa sipendi kuona mtu ana overtake gari yetu.
halafu na wewe kwa calculation balaa mpaka unajua yataisha porini? kwani amekwambia hana kiwese?
baada ya kukaa kwa muda mrefu bila mke, leo natangaza rasmi kuwa janeth1 ni Mrs. Mwanyasi.
taarifa kwa mwenyekiti Baba V na rais Arushaone wakiwa viongozi wetu.
dada na kaka zangu KOKUTONA amu Arabela Lady doctor watu8 Kaizer Judgement YNNAH Asprin DEMBA Chocs Filipo Heaven on Earth Mtoto halali na hela na marafiki wote.
Hajambo kabisa
Yuko wapi huyu mwanaume wako siku hizi?
nina kipingamizi