asante sana ma mkwe... tam ya wali ni nazi!mkwe nimeona ile gift ulonitumia kwaajili ya pasaka usiwaze soon ntakurudia.
Usikonde wifi, vyote utavikuta hukuuu hukuuu
asante sana ma mkwe... tam ya wali ni nazi!
niko mihangaikoni mama, soon ntakuletea mkufu wa almasi.. nipe muda.
have a happy holy friday..
asante mkwe, you are my everything unajua.. kama makofi polisi vile!ndo maana mi pendaga sana wewe mkwe....... Raha ya supu maandazi!
Kuwa huru muda nakupa mkwe Wangu.
Thank you, nawe pia!
sawa auntie.. endelea kuuza bu.tts, wanunuzi waja.Sio lutoka bali ni kutoka .
sawa auntie.. endelea kuuza bu.tts, wanunuzi waja.
asante mkwe, you are my everything unajua.. kama makofi polisi vile!
msalimie sana mzee Arushaone, pasaka hii ntamrushia buffalo kutoka serengeti..! mshindwe nyie tu!
Sio bu.tts jifunze kuandika , nipo hapa kukurekebisha japo ulipata D ya kiswahili .
Hatukukubaliana kuoana mpenzi, hivyo aliolewa na mzungu