Simchukii Lowasa kwa sababu tu ya jina lake ama kwa sababu anatoka Kaskazini. Namchukia kutokana na ufisadi wakeHajakipata bahati mbaya yes,ila amekipata kwa sababu ya CHUKI ya Nape,JK na wewe mwenyewe.Usichukie mtu chukia tabia ya mtu ili usihukumu maana usije ukahukumiwa.
Tumeona namna ambavyo utawala wa JK ulivyoumbuliwa na aliyekuwa waziri wake JPM,kama ningekuwa kwenye viatu vya JK hata kufika IKULU nisingefika,maana kwa matendo na ouvu wake ndipo alipotufikisha.
Sasa kama unapambana na MAFISADI mbona JK na rafikize plus familia yake hujawagusa?Au hawa hawagusiki??Nidyo sababu CHUKI mliyojengewa na JK sababu anamchukia LOWASSA mnaiendeleza.Piga vita UFISADI na si kumchukia mtu
Wadau, amani iwe kwenu.
Uchaguzi Mkuu wa 2015 umemalizika ambapo CCM imeibuka mshindi kwa ujumla wake katika nafasi zote za Urais, Ubunge na Udiwani. Walioshinda wameshinda na walioshindwa wameshindwa. Hata hivyo, mwisho wa uchaguzi wa 2015 ni mwanzo wa uchaguzi wa 2020.
Tumewasikia baadhi ya walioshindwa wakiongozwa na Fisadi Edward Lowasa wakijigamba kuwa mapambano yanaendelea na kwamba mwaka 2020 watasimama tena kuomba ridhaa ya Watanzania. Mwaka 2020 si mbali katika maisha ya binadamu ila ni mbali kwa kudra za Mwenyezi Mungu. Waliotangaza mapema kugombea nafasi hiyo hawana hakika ya nini kitatokea mbele ya safari ila kwa vile kila binadamu anaishi kwa mipango, nawapongeza wote waliotangaza kugombea uchaguzi wa 2020. Pia kitendo cha Lowasa kutangaza mapema kuwa atagombea uchaguzi wa 2020 kinatupa fundisho kuwa kumbe CHADEMA kinaendeshwa na matakwa ya mtu mmoja.
Binafsi nilianza mapambano na mafisadi mwaka 2012. Tangu wakati huo, nikiri kwamba licha ya mapambano kuwa magumu, nimefanikiwa kwa kiasi kikubwa nikishirikiana na wadau wengine angalau kuwasema wazi wazi mafisadi na kuumbua mipango yao ovu. Hali hiyo ilisaidia wananchi kuamka na kufanya maamuzi sahihi kwenye sanduku la kura na hivyo kufanikisha kuwaweka kando mafisadi wakiongozwa na fisadi Mkuu, Edward Lowasa. Kabla ya hapo, ilikuwa ni haramu kwa watu kumsema vibaya fisadi Lowasa na kila aliyethubutu kufanya hivyo basi alijikuta akiingia matatani.
Kwa vile fisadi Lowasa ametangaza kugombea Urais 2020, nami natangaza rasmi kuendelea kupambana na fisadi Lowasa hadi hapo fisadi mkuu atakapoteketezwa kabisa. Mapambano yanaendelea
Na mimi natangaza vita na wewe! 2017 nikishika UVCCM lazima uondoke Lumumba kuombaombaWadau, amani iwe kwenu.
Uchaguzi Mkuu wa 2015 umemalizika ambapo CCM imeibuka mshindi kwa ujumla wake katika nafasi zote za Urais, Ubunge na Udiwani. Walioshinda wameshinda na walioshindwa wameshindwa. Hata hivyo, mwisho wa uchaguzi wa 2015 ni mwanzo wa uchaguzi wa 2020.
Tumewasikia baadhi ya walioshindwa wakiongozwa na Fisadi Edward Lowasa wakijigamba kuwa mapambano yanaendelea na kwamba mwaka 2020 watasimama tena kuomba ridhaa ya Watanzania. Mwaka 2020 si mbali katika maisha ya binadamu ila ni mbali kwa kudra za Mwenyezi Mungu. Waliotangaza mapema kugombea nafasi hiyo hawana hakika ya nini kitatokea mbele ya safari ila kwa vile kila binadamu anaishi kwa mipango, nawapongeza wote waliotangaza kugombea uchaguzi wa 2020. Pia kitendo cha Lowasa kutangaza mapema kuwa atagombea uchaguzi wa 2020 kinatupa fundisho kuwa kumbe CHADEMA kinaendeshwa na matakwa ya mtu mmoja.
Binafsi nilianza mapambano na mafisadi mwaka 2012. Tangu wakati huo, nikiri kwamba licha ya mapambano kuwa magumu, nimefanikiwa kwa kiasi kikubwa nikishirikiana na wadau wengine angalau kuwasema wazi wazi mafisadi na kuumbua mipango yao ovu. Hali hiyo ilisaidia wananchi kuamka na kufanya maamuzi sahihi kwenye sanduku la kura na hivyo kufanikisha kuwaweka kando mafisadi wakiongozwa na fisadi Mkuu, Edward Lowasa. Kabla ya hapo, ilikuwa ni haramu kwa watu kumsema vibaya fisadi Lowasa na kila aliyethubutu kufanya hivyo basi alijikuta akiingia matatani.
Kwa vile fisadi Lowasa ametangaza kugombea Urais 2020, nami natangaza rasmi kuendelea kupambana na fisadi Lowasa hadi hapo fisadi mkuu atakapoteketezwa kabisa. Mapambano yanaendelea
Simchukii Lowasa kwa sababu tu ya jina lake ama kwa sababu anatoka Kaskazini. Namchukia kutokana na ufisadi wake
Sasa nimeelewa.Lizaboni ni wakala wa membe na unajua haziivi na el. Huyu siyo mpambanaji wa ufisadi bali anachuki binafsi.
Ufisadi wa Liwasa ulikuwa na athari kubwa katika taifa. Ndo maana nimeamua kupambana na hilo fisadi papa. Kwa hilo tusameheane. Sitarudi nyumaHutakiwi Kumchia mtu wala kumuhukumu maana hukumu mwachie aliyemuumba.Nimelkwambia chukia tabia yake.Leo tumeyajua madhambi ya aliyekuwa MUKULU wetu lakini hatumuhukumu tunasema atakayemuhukumu ni aliyemuumba.Kama ungetenda haki hata hawa ungewachukia na kusema kwa nguvu zote kwamba unachukia ufisadi:
JK ,Ritz,Chenge,Mama wa pesa ya Mboga aka Anna Tibaijuka,Ngereja,Mzee wa Tembo,aliyekuwa waziri wa Chui na simba,nk nk ningekuona wa maana sana.
LAkini kumnanga mtu mmoja haisaidii kuonyesha chuki binafsi.Jitahidi usiwe kama vuvuzela.Kama umeamua kupiga vita UFISADI na RUSHWA basi vaa miwani ya mbao piga kote kote.Fisadi siyo Lowassa tu.Kuna waliokwapua kuliko Lowassa na unawajua.
Ni ukweli ambao hawapendi kuusikia wala kuusikilizaWaliojaa ndani ya CCM hupambani nao?
Itakua haina maana sasa.itaonesha kama una chuki tu na mtu na sio kukemea ufisadi
Ufisadi wa Liwasa ulikuwa na athari kubwa katika taifa. Ndo maana nimeamua kupambana na hilo fisadi papa. Kwa hilo tusameheane. Sitarudi nyuma
Subiri ianzishwe mahakama ya majizi na mafisadi