Deo Corleone
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 16,927
- 13,011
Wanajf na watanzania wote,natangaza nia ya kugombea ubunge songea mjini kwa ticket ya chadema.nlitaka kufanya hvyo kwnye uchaguz uliopita lakin nlikuwa underage.kwahyo next election ntakuwa na 25 yrs.Naombeni ushaur wenu ili nimuangushe tembo nchimbi.Ndugu wanajf naomba kutoa taarifa