January makama ameendelea kupokea lawama. Pamoja na hayoanajipambanua kwamba yeye ni mtu wa aina gani. Hizi ni baadhi tu ya tweets zake
Maria Sarungi: asa politician, kejeli si kitu busara kutumia na wananchi IMO maybe a CCM memberor independent voter
JMakumba: Youshould read my tweets: I mix jokes, sarcasm, & seriousness. I don't try toohard to be who am not
Maria Sarungi: niushauri tu coz sarcasm si kila mtu anaelewa ... but plz usijali honestly justfriendly advice
Jmakamba: Okay. Send over the invoice for thisadvice as there's no free lunch. Hahahaha
Maria Sarungi: hahahaaa! kaka! Free kabisa! no worries!
Irene Kiria: Kuna Wabunge wa CCM wamekuwawakijipambanua kuwa Wabunge Vijana, naona kumbe tofauti wanayomaanisha ni yaumri pekee
Awali January Makambandiye aliyeomba mwongozo wa spika kwa kutumia Kanuni za bunge kifungu cha 68ibara ndogo ya 7, na spika kwa mamlaka aliyopewa na ibara hiyohiyo akatoa ufafanuzipapo hapo juu ya matakwa ya katiba na kanuni za bunge Ibara ya 133 ibara ndogo ya 3(a).jambo ambalo wengi wanona tasfiri yake ilikuwa ya kishabiki zaidi na ndipoMbunge wa kawe alikasirika na ku Tweet:
Halima Mdee: NaonaJanuary anaomba mwongozo... kuhusu sahihi sabini? Eti anahoji ukusanyaji wasahihi.....
Halima Mdee akaendelea: Eti anahoji uhalali wa kukusanya sahihi! I used to respectthis guy.. anaanza nitia mashaka! Nahisi hajui kanuni!
Tenna Halima akafikia mbali na ku Tweet: January... ni mnafiki. Najuaananisoma now..
Zitto alikoment: Nirahisi sana kujua waliotayari kuwa nje ya comfort zone. @JMakamba anaogopa chama chake.Hajui wajumbe kadhaa wa chama chake wamesaini
Halima mdee akarahisisha: sema lugha nyepesi.... ni mnafiki kwani hayuko humu? Hajuiwenzake wamesign? Hili suala sio la chama!
JMakamba: DadaHalima, ukipishana na mtu mawazo weka akiba ya maneno. Kuna kuzikana kesho.Siasa is not everything in life.
Hallima Mdee: kaka!Sikutegemea kama ungekasirika mpaka kufikia kutamka hayo! Samahani kaka kamaumekwazika!
Kumbe unasema huyu hafai maana ni product ileile ya maghambas?????Kwa hiyo CDM jipangeni kupeleka mtu bora Bumbuli tumvue huo ubunge wa CCM!!!!! Hakuna mwana harakati huko Bumbuli?????? Jitokeze au mnamwogopa huyo dogo??????????VIVA CDM VIVA UKOMBOZI WA BUMBULI!!!!!Mbegu ya mhogo mchungu ukiipanda usitegemee kupata mhogo mtamu. Bora kuhangaika kupata mbegu ya mhogo mtamu itakayokuzalia mihogo mitamu. Vinginevyo ukitegemgea mhogo mchungu kuzaa mhogo mtamu utaishia maumivu ya kichwa kutokana na sumu yake.
Mkuu Maziku Masunga Jr (one post) je umekuja hapa na agenda ya kutetea huo uozo kuwa ni halali????? Kwa kuwa hali hiyo imetawala Africa hivyo tukubali kuwa dharau, unafiki, chuki na kejeli ni haki ya MAKAMBA TUVUMILIE????? Hueleweki!!!!hii ni kawaida kwa siasa za afrika...
unafiki,chuki na kejeli zimetawala ktk demokrasi ya Tz
Alisifiwa akajiona mtu wa maana hata hivyo sijawahi kuwaamini ccm hata sekunde achilia mbali ahadi zao hata familia zao na koo zao
Niliwahi kuandika thread 17 October 2011 kuhusu Makamba.
( https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/183180-january-makamba-mbunge-wa-aina-yake.html )
Nili mpongeza kwa namna nilivo ona anaofanya mambo yake ya kisiasa.
Najuta kumpongeza,nahisi aibu sana,ni kosa ambalo sita lifanya tena
kwa kudhani kuna mtu ndani ya ccm ana "upendo" juu ya Tanzania.
Leo katika facebook page yake kaandika.
Juzi Halima Mdee alisema wazi wazi kwamba makamba ni mnafiki.
Leo nimeamini kwamba ni zaidi ya mnafiki,nahisi ni mchawi
na mroho wa madaraka kupindukia.
Hajawahi kuipenda nchi,wala kuwazia kizuri chochote juu ya Tanzania
ila tumbo lake tu.
Eti watu "wana chonga sana",hizi si dharau hizi?
Kwamba Zitto ana chonga sana?
Kwamba Fulikunjombe na wengineo wanachonga sana,
ila makamba ndie anae jua kila kitu.
Yes,wanao jua mwanzo wa ufisadi na hata mwisho wako
kimya tu,wanakula viyoyozi kwa kushiriki kila msiba
kila kona ya dunia,wana tembelea vituo vyote vya
utalii duniani wala hawana taarifa za mfumuko
wa bei Tanzania.
Hawataki kusema kwanini gharama za maisha ziko juu,
kwani wanajua mwanzo wake ni wao kujitafutia utajiri na
mwisho wake ni watanzania kufa kwa njaa kuteseka
na maisha magumu.
Wanajua mwanzo wa kuibiwa mabilioni ya kodi za watanzania
na wanajua mwisho wake ni watu "kuchonga sana" na wao
kukimbia kwenda kuishi nchi walizo jiandalia kwenda.
Kweli kabisa,watanzania tunachonga sana kwa sababu hatujui
kinacho endelea huko kwenye viyoyozi vyenu,lakini nyie mnajua
sana maana mnacho fanya ni ufuska huku mkijua kifo hakipo.
Endeleeni sana,acha watoto wa maskini wachonge sana,
watetezi wa wanyonge wachonge sana,ila nyie "watafuna nchi"
mkiwa mnajua mwanzo na mwisho wa kila kitu.
Hakika,siku yenu inakuja,namuomba Mungu nisife hadi niione.