Speaker
JF-Expert Member
- Aug 12, 2010
- 6,324
- 2,238
- Thread starter
- #101
January makama ameendelea kupokea lawama. Pamoja na hayoanajipambanua kwamba yeye ni mtu wa aina gani. Hizi ni baadhi tu ya tweets zake
Maria Sarungi: asa politician, kejeli si kitu busara kutumia na wananchi IMO maybe a CCM memberor independent voter
JMakumba: Youshould read my tweets: I mix jokes, sarcasm, & seriousness. I don't try toohard to be who am not
Maria Sarungi: niushauri tu coz sarcasm si kila mtu anaelewa ... but plz usijali honestly justfriendly advice
Jmakamba: Okay. Send over the invoice for thisadvice as there's no free lunch. Hahahaha
Maria Sarungi: hahahaaa! kaka! Free kabisa! no worries!
Irene Kiria: Kuna Wabunge wa CCM wamekuwawakijipambanua kuwa Wabunge Vijana, naona kumbe tofauti wanayomaanisha ni yaumri pekee
Awali January Makambandiye aliyeomba mwongozo wa spika kwa kutumia Kanuni za bunge kifungu cha 68ibara ndogo ya 7, na spika kwa mamlaka aliyopewa na ibara hiyohiyo akatoa ufafanuzipapo hapo juu ya matakwa ya katiba na kanuni za bunge Ibara ya 133 ibara ndogo ya 3(a).jambo ambalo wengi wanona tasfiri yake ilikuwa ya kishabiki zaidi na ndipoMbunge wa kawe alikasirika na ku Tweet:
Halima Mdee: NaonaJanuary anaomba mwongozo... kuhusu sahihi sabini? Eti anahoji ukusanyaji wasahihi.....
Halima Mdee akaendelea: Eti anahoji uhalali wa kukusanya sahihi! I used to respectthis guy.. anaanza nitia mashaka! Nahisi hajui kanuni!
Tenna Halima akafikia mbali na ku Tweet: January... ni mnafiki. Najuaananisoma now..
Zitto alikoment: Nirahisi sana kujua waliotayari kuwa nje ya comfort zone. @JMakamba anaogopa chama chake.Hajui wajumbe kadhaa wa chama chake wamesaini
Halima mdee akarahisisha: sema lugha nyepesi.... ni mnafiki kwani hayuko humu? Hajuiwenzake wamesign? Hili suala sio la chama!
JMakamba: DadaHalima, ukipishana na mtu mawazo weka akiba ya maneno. Kuna kuzikana kesho.Siasa is not everything in life.
Hallima Mdee: kaka!Sikutegemea kama ungekasirika mpaka kufikia kutamka hayo! Samahani kaka kamaumekwazika!
Mwe mwe mwe mwe mwe.
Makamba kumbe mafia eh?
Hadi kumtishia binti wa watu maisha?doh na halima maskini akanyweeeea
inaonekana ana mjua sana.