We unajua kulea wewe?nimemlea Marry Hunbig na kumsomesha ,na wewe pia nakusomesha,mahali kitu gani,
tumepanga mahali iwe millioni 3,ng'ombe 2,nguruwe 1,mbuzi 1,kuku 6,mashuka pea 2,blanketi la shangazi Madame B ,na barua ya posa iambatane na laki tatu cash.pia wakipita mlangoni kwangu iwe getini ama kuingia sitting rum ni sh 50000 kwa kila mtu.
mimi ndo nilikuwa nawakomalia wale wahuni wote kule mtaani... Mi ndo nilikuwa na mtetea akinywaga bia za watu ... Ila thawa bana.. Nipe hiyo hela nikalete hizo malta thatha... Uone Kama sijawaletea vijoti :A S-cry:
Chimbuvu hii ni DIGITAL WORLD stevoh halipi mahari, anayelipa mahari ni Marry Hunbig. Pigia mstari hapo.
basi ntakuangalia kama shemeji usiogope
Hii siri yangu na Marry Hunbig..... :focus:
sikuangalii tenaa.
Mke wangu Lily Flower sina wasiwasi naye, nimemfungia kifaa maalum
Aaah... Thatha... Si alikunywa bia alafu jamaa wa meza ya pili akalipia bila yeye kujua.... Wakati anataka kulipa anaambi Already paid Jamaa akang'ang'ana waondoke wote.... Hapo ndipo jamaa alipo chezea kisago mpaka hamia wakimbiziforums.com ---- haya niangalie thatha bwa shem 🙂)
akija atajibu yote hayo ngoja aje.