Natangaza kumchumbia Mary Hunbag.....

Natangaza kumchumbia Mary Hunbag.....

mimi ndo nilikuwa nawakomalia wale wahuni wote kule mtaani... Mi ndo nilikuwa na mtetea akinywaga bia za watu ... Ila thawa bana.. Nipe hiyo hela nikalete hizo malta thatha... Uone Kama sijawaletea vijoti :A S-cry:

We mdogo wangu Donn,mie situmii hizo bia kwani ni chukizo kwa Mungu wangu.
 
Last edited by a moderator:
Ah,sweetie stevoh,huyu ni kaka yake na jirani wa binamu wa shangazi wa balozi wa mkwe wa mama yangu mkubwa.

sasa kumbe jirani ndugu. Tutajua namna ya kudili nae. Washenga wangu wana mbinu za kudili nae usiogope.
 
Last edited by a moderator:
Aaah... Thatha... Si alikunywa bia alafu jamaa wa meza ya pili akalipia bila yeye kujua.... Wakati anataka kulipa anaambi Already paid Jamaa akang'ang'ana waondoke wote.... Hapo ndipo jamaa alipo chezea kisago mpaka hamia wakimbiziforums.com ---- haya niangalie thatha bwa shem 🙂)

We Donn wewe!!
Ni mimi huyu huyu au Marry Hunbig wa kuchonga?
Nimeokoka mie,sifanyi mambo ya jinsi hiyo!
 
Last edited by a moderator:
Haya mambo bwana haya, we Donn bado mpo?halafu uende kwa baba zako wadogo Bishanga watu8 na manoah uwape taarifa tuna ugeni binti yetu Marry Hunbig anataka kuchumbiwa. Na kikao chetu cha sendoff tutakaa mimi na baba zenu wadogo hatuitaji kadi.
 
Last edited by a moderator:
We mtukutu sana wewe,wiki iliyopita nilikutuma mjini na haukurudisha chenchi,tumia ile chenchi,nimemaliza,nashangaa sana kijana nnayetaka kumrithisha utajiri anakuwa hivi,,,kweli?

my sis hanywi bana stevoh kuwa na amani.... But Naomba nauli basi Chimbuvu si unajua kwa Bishanga watu8 na manoah ni mbali sana.... Alafu natakiwa kuwahisha ujumbe.... So taxi itafaa
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom