Chimbuvu
JF-Expert Member
- Jul 17, 2012
- 4,401
- 2,343
Haya,leta barua ya uchumba ili tuanze kubargain mahari!
mama wewe mjomba ndio yuko hivo?
mama wewe mjomba ndio yuko hivo?
bila shaka nitakuombea BAN usije hata kwenye sendoff yake. Shit
Yaani ma honey,huyu "mjomba" atakuwa muhindi,maana wahindi huwa wanaoa hadi ndugu zao!!
Haya,leta barua ya uchumba ili tuanze kubargain mahari!
Wyf Madame B hebu njoo huku uwasikilize washenga kuna kijana anataka kumchumbia mwanao.
stevoh hujanielewa mimi simtaki BAN (kwanza ndiye nani huyo BAN?) Mimi namtaka Marry Hunbig akiwa na baibo.
:A S-cry: :A S-cry: :A S-cry:
mjomba Chimbuvu naona katika suala la mahari katutia kapuni kabisaaa :A S-cry:
Nyie nendeni sokoni na dada zako mkanunue vitu kuwaandalia wageni,mchukue na kreti la soda na malta.
Chit chat ni uchumba na ndoa 2
mbona ndoa hujaitaja,mi nna wacwac na hiz ndoa badae 2takuja kuomba undugu au 2takuwa na wengi walioachika wazee waliangalie hilikwani maisha ni nini? Kuzaliwa, kuishi, Kula, kuzaliana, kufa :coffee:
mbona ndoa hujaitaja,mi nna wacwac na hiz ndoa badae 2takuja kuomba undugu au 2takuwa na wengi walioachika wazee waliangalie hili
Haya hebu zungumza,unaujua uwezo wa mwenza wako mtarajiwa unaonaje tukimtaka atoe mahari millioni moja?