Natangaza kumchumbia Mary Hunbag.....

Natangaza kumchumbia Mary Hunbag.....

Nasimama nikiwa kama mjomba wa Marry Hunbig kufika ktk geti la nyumbani stevoh ni ng'ombe mmoja, kuniita sittn rum kuja kupokea posa ni ng'ombe mwingine mmoja.halafu naona mmekuja na mashati na makoti makubwa na washenga wako Arushaone Erickb52 , Chilli na manoah ,kwanza nyumbani kwangu huwa hatuvai makoti hayo,faini ni ng'ombe mmoja ama laki mbili ya papo kwa papo.toeni makoti yenu na viatu mvue hadi na soksi mvue,ndio nianze kuwasikiliza.mi narudi chumbani mpaka niwaone hao ng'ombe watatu ama wawili na laki mbili ndio ntawasikiliza
 
Last edited by a moderator:
Nasimama nikiwa kama mjomba wa Marry Hunbig kufika ktk geti la nyumbani stevoh ni ng'ombe mmoja, kuniita sittn rum kuja kupokea posa ni ng'ombe mwingine mmoja.halafu naona mmekuja na mashati na makoti makubwa na washenga wako Arushaone Erickb52 , Chilli na manoah ,kwanza nyumbani kwangu huwa hatuvai makoti hayo,faini ni ng'ombe mmoja ama laki mbili ya papo kwa papo.toeni makoti yenu na viatu mvue hadi na soksi mvue,ndio nianze kuwasikiliza.mi narudi chumbani mpaka niwaone hao ng'ombe watatu ama wawili na laki mbili ndio ntawasikiliza

Mhhh!!!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom