Naona hautaki mke wewe,unajua huyu yupo kwenye panel ya kupokea mahari akisimama kama baba mdogo wa Marry Hunbig?
ngoja my waifu tu bi anidhihirishie hilo.
Umeona, huyu Marry Hunbig atatia aibu humu mda si mrefu
Heee watoto wakalale,kesho waamke asubuhi waende shule?
whaaaaaaaat!?
unazunguka pori nyooka kwenye point.
Kwani mie nataka kuku vulugia? Mie, nakufumbua macho unazama kwenye tope live, kama ushaidi mdogo tu nimekupa na nina evidence nyingi tu Marry Hunbig
Kwani mie nataka kuku vulugia? Mie, nakufumbua macho unazama kwenye tope live, kama ushaidi mdogo tu nimekupa na nina evidence nyingi tu Marry Hunbig
Vin Diesel na Arushaone nimecopy na nitayafanyia kazi baada ya tarehe 26 Jan (White Party)....Second copy to marejesho..