Natangaza kumchumbia Mary Hunbag.....

Natangaza kumchumbia Mary Hunbag.....

Last edited by a moderator:
Vin Diesel amekua kirusi zaidi ya kirusi chenyewe
Mtu kila mwanamke anamtaka na anataka watu humu ndani wapigane ngumi Baba V hebu mpe ban ya wiki moja aise

hayo maneno. Asije kutuchafulia hali ya hewa.
 
Last edited by a moderator:
Vin Diesel anampango gani na mpunga wa mwaka huu? mwambie kuwa makini asee machalii tuna hasira kha!
Mungi niaje babangu chaliii ya Arusha Vin Diesel hajui kuwa machalii wana hasira mbaya tena wamevuta cha arusha hawajui kusini wala kaskazini aise
Halafu hajui stevoh nae ni chalii ya arusha
 
Last edited by a moderator:
Vin Diesel boar unyamaze kimya usije tuu ukatoa siri kuwa ulishawahi kuwa na Marry Hunbig itakuw abalaa jingine kwa stevoh
halafu nikisema wewe ndo mwenyekiti wa penda penda club Erickb52 anasingiziwa unakataa

copy kwa Mungi

kaka nitakukana kabisaaa kumbe wajua yote hayo itanibidi niwe mwana FA SASA IVI KUWA BADO NIPO NIPO. Shit.
 
Last edited by a moderator:
kaka nitakukana kabisaaa kumbe wajua yote hayo itanibidi niwe mwana FA SASA IVI KUWA BADO NIPO NIPO. Shit.

hapana bana walikuwa wanaongea kuhusu mradi wao wa kufuga mbuzi wa maziwa si unaujua ule pale mitaa ya kisongo wanakopesha mbuzi wa maziwa aise stevoh na sio mengine bana
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom