Woga tupa kulee
JF-Expert Member
- Sep 4, 2012
- 1,749
- 1,312
Nani anashika pembe?
Wewe manoah hujui kuwa kwenye Bible,manabii walikuwa wakishika pembe?
Nimekupa cheo kikubwa sana!
Last edited by a moderator:
Nani anashika pembe?
Wewe manoah hujui kuwa kwenye Bible,manabii walikuwa wakishika pembe?
Nimekupa cheo kikubwa sana!
Hee!
Yameshakuwa hayo jamani manoah?
Marry Hunbig haya kwenda kulala sawa? Saa 9 usiku uje uniamshe tujadili sawa?
Marry Hunbig haya kwenda kulala sawa? Saa 9 usiku uje uniamshe tujadili sawa?
Kwenda kulala huko, nyie ndio wavunja ndoa za watu, dawa yenu ipo jikoni
sijapendezwa na kauli yako
mmh... Sasa mbona unataka kuongea usiku usiku...
:focus: nalog on!!
My wife to be uko wapi nataka kutuma watu walete posa na mahar sasa tuende kwa nani maana umemkana mjomba na baba mdogo wako. Au tumpe shemeji yangu mdogo Donn??
Jamani mrembo Marry Hunbig si ukubali tu jamani tulile hilo pilau. . .