Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,580
Hicho kifaa umemfunga mie ndio nili design....
Ah wapi! we mwenyewe ukiwa naye nakuona, yaani mie mke wangu nam control bila wasiwasi wowote
Hicho kifaa umemfunga mie ndio nili design....
sitaki kuona dam mimi. Mnagombana live mbele ya mkwe khaaa!
Angalizo kwa Marry Hunbig .
stevoh hakupendi na wala hakujali , uthibitisho wa kwamba hakujali , angalia bandiko lake la kutanga uchumba kwako wewe Marry Hunbig . Utaona kaandika ( Mary Hanbag ) hili pekee tu linaonesha jinsi gani hakujali. Ivi wewe marry Hanbig kwa mtu anae kupenda anaweza kukosea jina la mpenziwe? stevoh ni mpigaji kuwa makini Marry Hunbig ..
Source;
manoah ~
copy:
Baba V
Marry Hunbig
Donn
Chimbuvu
Mamndenyi
stevoh
Arushaone
Erickb52
Madame B
ukisikiwa WACHAWI NDIO HAWAAAAA
Angalizo kwa Marry Hunbig .
stevoh hakupendi na wala hakujali , uthibitisho wa kwamba hakujali , angalia bandiko lake la kutanga uchumba kwako wewe Marry Hunbig . Utaona kaandika ( Mary Hanbag ) hili pekee tu linaonesha jinsi gani hakujali. Ivi wewe marry Hanbig kwa mtu anae kupenda anaweza kukosea jina la mpenziwe? stevoh ni mpigaji kuwa makini Marry Hunbig ..
Source;
manoah ~
copy:
Baba V
Marry Hunbig
Donn
Chimbuvu
Mamndenyi
stevoh
Arushaone
Erickb52
Madame B
Siku zote mji mwema hutupiwa majiwe stevoh au niweke ushaidi mwingine kua wewe ni mpigaji na huna penzi la dhati kwa Marry Hunbig
Siku zote mji mwema hutupiwa majiwe stevoh au niweke ushaidi mwingine kua wewe ni mpigaji na huna penzi la dhati kwa Marry Hunbig
Donn mkuu wangu, angalia head ya thread mwenyewe, mie sina tatizo na mtu ndugu.
Dah mi hata la kusema sina.... I just wan't my sis to be happy and Safe...
Haya na wewe malizia kula,unywe maji,ukakojoe ukalale,haya mambo ya wakubwa hayakuhusu.
poa my dia. Hujambo?
Unasema kweli?kwa hiyo huyu kijana anammendea mpwa wangu kwa kuwa anajua ntamrithisha sehemu ya utajiri wangu?