Hodi walimu! Walimu amkeni tupige vita cwt kukata mshahara wa walimu hakuna manufaa yoyote ya kukatwa fedha zetu! Mjengo wa CWT una faida gani kwako mwalimu? Eti! Benki ya nini? Wakati vitega uchumi vinazalisha tugawane kwanza faida ya mjengo ndo benki ianzishwe. La sivyo no benki no saccos.
Tusomewe mapato na matumizi ya mjengo! Tupige vita kukatwa na CWT Isiwe ni kichaka cha kina Mkoba kufanya ufisadi, tuma kwa walimu 20.