Intricate
JF-Expert Member
- Sep 10, 2024
- 396
- 1,235
Endelee kukomaa mkuu chama ni Bora kuliko uDCNimekuwa maarufu sana humu jf,my.Rais nione japo Kwa u DC
Sawa mamaD 😆Ngoja ni Google CM 1774858, pengine ninakufahamu
Jimboni kwetu mkuuWewe si ndiyo ChoiceVariable vipi unagombea wapi ili tuone namna ya kukusaidia mkuu?
Mimi ni shabiki wa Samia sio mwanachama wa CCM so asiponiona Samia ndio imetoka hiyoEndelee kukomaa mkuu chama ni Bora kuliko uDC
You mean sio mwana CCM?Mimi ni shabiki wa Samia sio mwanachama wa CCM so asiponiona Samia ndio imetoka hiyo
Yes,Mimi sio mwaaccm Wala mwanachama wa Chama chochote Cha siasa,ni shabiki wa Samia Kwa sera zake nzuri za Uchumi zinatusaidia sisi wakulima .You mean sio mwana CCM?
Husitusumbue!==
Mimi kada wa CCM mwenye namba ya uanachama CM 1774858,
Natangaza kugombea na kushinda nafasi ya Ubunge katika Jimbo letu.
Uzoefu ndani ya chama ni miaka 7,
Naomba ushauri, mawazo na connections ni jinsi gani naweza kushinda na kuwaongoza Wananchi wangu,
Asanteni sana naombeni baraka zenu,
Safi kabisa mkuuYes,Mimi sio mwaaccm Wala mwanachama wa Chama chochote Cha siasa,ni shabiki wa Samia Kwa sera zake nzuri za Uchumi zinatusaidia sisi wakulima .
Mimi Nina Mungu tu, hapo vipi?1. Uwe na hela ya kutosha.
2. Uwe na mganga mzuri na kafara iwe kubwa.
3. Uwe na wakubwa nyuma yako mfano wa Riz1 na January Makamba.
Tofauti na hayo yote hutoboi, na haya ndio yanasababishwa tuendelee kuongozwa na watu wasio na uchungu na nchi hii
Mimi Nina Mungu tu, hapo vipi?
Mimi ni mtu wa Mungu 100%Kama kweli wewe ni mcha Mungu, na dhamira yako ni kwenda kuondoa dhuluma, kuleta haki na usawa basi Mwenyezi Mungu kweli atakuwa na wewe na kukupigania.
Ila kama dhamira yako ni kama ya hao waliopo na kujikomboa kimaisha basi tambua hapo Mwenyezi Mungu hayupo na wewe endelea kuwa na Shetani tu usiwe mnafiki.
Zungumza na nafsi yako.
Sio rahisi mkuuWajumbe watapiga tu pesa zako kisha watamchagua mtu wao ambaye amekuwa akiwahonga tokea 2022.
Taja jimboJimboni kwetu mkuu