PreGE2025 Natangaza kugombea Ubunge

PreGE2025 Natangaza kugombea Ubunge

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
Japokuwa ni haki yako ila naomba nikuite we ni MPUUZI. Ni aibu kuona kijana leo hii unaunga mkono hicho chama, anyway all the best.
Mkuu nadhani kila mmoja ana uhuru wa kuwa mwanachama wa chama anachokubaliana na policies zake...... yaani hapa Jeifu watu wengi mnajifanya kupambania uhuru wa kujieleza,uhuru wa mawazo na uhuru wa kufanya jambo bila kuingiliana, lakini kwasababu ya tofauti ya vyama nawewe unamtukana kwa kumwita mpuuzi? Unadhani hapo uko sahihi? Tuishi kile tunachokipigia kelele
 
Ili ushinde Uchaguzi fedha sio kitu Cha kwanza dada yangu
kuwa unadhani kuwa tu sisiem inatosha wewe kupata ubunge ? waulize wakongwe Akina lukuvi wakwambie....

Andaa pesa Tena pesa ya kutosha.
 
Back
Top Bottom