PreGE2025 Natangaza kugombea Ubunge

PreGE2025 Natangaza kugombea Ubunge

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
Ili ushinde Uchaguzi fedha sio kitu Cha kwanza dada yangu
Kuna mwenzako huku anagombea viti maalum, katuunga kenye group anatuchangisha..najiuiza anataka pesa za nini nimekosa jibu.
Sijaweza kumuuliza kwasababu sina mpango wa kumchangia.
 
Kuna mwenzako huku anagombea viti maalum, katuunga kenye group anatuchangisha..najiuiza anataka pesa za nini nimekosa jibu.
Sijaweza kumuuliza kwasababu sina mpango wa kumchangia.
Pesa sio kila kitu kwenye Uchaguzi ila Mgombea mzuri
 
Japokuwa ni haki yako ila naomba nikuite we ni MPUUZI. Ni aibu kuona kijana leo hii unaunga mkono hicho chama, anyway all the best.
Kwa uandishi wako wewe ni Chadema. Je, unajua Lissu yupo korokoroni? Mbona bado hujakinukisha na wakati wewe sio mpuuzi kama huyu mtoa post?
 
Nakuwaje mpuuzi mkuu?
Mkuu samahani kama hukunielewa? Nilikuwa namjibu huyo aliyekuita mpuuzi kuwa kama wewe ni mpuuzi mbona yeye mwerevu hajaenda kukinukisha Polisi hadi kumtoa Lissu? Nisamehe kwa any inconvenience that I didn't mean!
 
==
Mimi ni kada mtiifu wa Chama Cha Mapinduzi CCM mwenye namba ya uanachama CM 1774858,

Rasmi natangaza kugombea na kushinda nafasi ya Ubunge katika Jimbo letu kwa nguvu ya Mungu,

Uzoefu ndani ya chama ni miaka 7,

Naomba ushauri, mawazo na connections ni jinsi gani naweza kushinda na kuwaongoza Wananchi wangu,

Asanteni sana team jf naombeni baraka zenu,
WE NEED REFORMS.
 
Back
Top Bottom