Natambulisha Live Online Tv kwenu

Tupo katika kipindi cha kufanya maboresho makubwa, kuna channel za zamani zimeacha kuonyesha baada ya kuingeza channels nyingine tunalishughulikia hilo.
 
kama imeshindikana kuzirudisha channel za azam wangeziondoa zibaki zile zinazofanyakazi
 
Hamna kitu hapa nilikua naitumia kuchek ligi ya bongo lakini sasa hivi chenga tu.
Ngoja nikai unistall
 
Back
Top Bottom