KING KIGODA
JF-Expert Member
- Dec 28, 2018
- 3,756
- 2,999
Kamwe uwezi jibu habadani ninacho kiulizaWazizi = Wazazi
Una bisha = Unabisha
Kajifunze kwanza kuandika kisha urudi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Kamwe uwezi jibu habadani ninacho kiulizaWazizi = Wazazi
Una bisha = Unabisha
Kajifunze kwanza kuandika kisha urudi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sibishani na Mtu asiyejua hata kuandika.Ukijibu swali langu,basi utakuwa kweli wewe MKRISTO.Ila uwezi jibu kwa sababu wewe ni MPAGANI
Sent using Jamii Forums mobile app
lakini kweliAisee, ila kiufupi kila mtu hutamani kile ambacho hana.
Nimewasikia wanaume wengi wa Kikristo wakitamani ndoa za Kiislam (nafasi ya kuoa wake wengi) na wanawake wengi wa kiislam wakitamani ndoa za kikristo (mume mmoja).
Unaelewa nini unapoambiwa amani ya Mungu (roho) ikae pamoja nasi?Sawa. lakini huo ndio ukweli.
"Na amani ya Mungu ikae miyoni mwenu"
Unamtumikiaje mungu ukiwa na majuto na magomvi.
Yakobo 1:12"Avumiliaye hata mwisho ataokoka"
Hakuna anayeweza kuvumilia katika uasherati na uzinzi katika fungamanisho la ndoa ya dini ya kiislamu
Wewe ni mzinzi usingalikuwa mzinzi ungefuata mafundisho ya Biblia yanatuongoza vizuri kabisa namna gani tunaweza kuishinda tamaa na uzinziKatika dini hii kuwa na wake 2-4 sio uzinzi (kumbuka haya ni matakwa ya dini husika.
" Mkirifunga duniani limefungwa mbinguni na mkilifungua dunia limefunguliwa mbinguni"
Dini ikisema dhambi ni dhambi hata kama Mungu akusema.
Naona umehusianisha sana ndoa na mambo ya kiimani, sina hakika na ubora au ubaya wa ndoa unahusiana na dini, ndoa ilikuwapo hata kabla ya mapokeo ya dini na ilidumu si sababu ya dini fulani bali misingi ambayo hujaizungumzia.Pamoja na changamoto mbali mbali za dini ya kiislamu. Baada ya kuchunguza sana nimegundua katika ndoa na mfumo wake ni Ndoa bora zaidi kuliko za Kikristo .
Kama ningeweka katika % basi Ndoa za Kiislamu ni 90% ubora na za Kikristo ni kama 40%
Kwa nini nasema hivi?
Kwanza mimi ni mkristo na nimeoa ndoa ya Kikristo.
Amani - 70% ya ndoa za kikristo hazina amani kabisa ukilinganisha na ndoa za kiislamu zenye amani 80%.
Hii ni kwa sababu ya ile consent (uhiyari wa kuishi katika ndoa).
Upendo - Upendo wa kweli ni 90% kwa waislamu, tofauti na 20% ya ndoa za kikristo (hasa kwa wanawake).
Hii ni kwa sababu ya kupenda au kutokupenda kukaa katika ndoa yenye shida , this means kwa Waislamu aliyepo kwenye ndoa ni yule anayependa kuwa hapo na kama hapendi ndoa hiyo ruksa kuondoa wakati wote. So 100% ndoa za kiislamu wapo kwenye upendo kwa sababu ya uhiyari wa kuwepo au kutokuwepo katika ndoa.
Katika kutafiti kwangu Ile kwamba Mume mmoja na mke mmoja katika ndoa za kikristo ni nadharia tu uhalisia siyo hivyo. Muda mwingi inakuwa ni kujidanganya tu.
(Nimeshuhudia si kwa watu wa kawaida tu hata kwa wachungaji 50% ya ndoa zao ni mbovu)
Nimegundua kwamba Wanaume wa Kiislamu wanatumia ule ubaba wao vibaya na ile ruhusa ya kuoa zaidi ya mke mmoja kama nyanyaso kwa wanawake wengi.
Vile vile nimegundua Wanawake wa kikristo hutumia vibaya ile "pingu za maisha" kufanya wanachotaka wakiwa na bima ya kutokuachika katika ndoa zao na hii imepelekea upendo kupoa na uvunjifu mkubwa wa amani katika ndoa za kikristo.
Kwa ndoa za Waislamu kila kitu kipo wazi watoto, mirathi, kugawana mali na nk.
Katika ndoa za kikristo kila kitu ni giza totoro hakuna utaratibu wala nini. kila kitu vululuvululu.
Mwanamke Alyepo kwenye ndoa za kiislamu ana future anajua sehemu yake na majukumu yake na hata hatma ya watoto wake(this is good).
Kwa waislamu Mume ni master.
Kwa wakristo mume ni partner.
Kwa waislamu kusolve matatizo ya ndoa ni rahisi sana kupitia kwa kadhi.
Kwa wakristo kusuluhisha matatizo ya ndoa ni ngumu sana (kwa maana jambo la hiayari, linafanywa lazima).
Ndoa za kiislamu zimedumu miaka na miaka bila kubadirika - hii ni kutokana na msingi Imara na msimamo wa dini.
Ndoa za kikristo zimebadirika sana na kupindukia. Sasa kuna ndoa za kikristo za mashoga, sasa kuna ndoa za kusagana, sasa kuna ndoa za mikataba.
Kitabu cha dini inayosimamia ndoa za kiislamu hakijabadilishwa (kinasumbuka tu na tafsiri na mafundisho) lakini Content ni ile ile ya kale na kale na hii ndiyo inaweka uimara wa ndoa.
Kitabu cha dini ya Kikristo (Biblia) kimebadishwa sana na sasa baadhi ya maandiko kutokueleweka au kuchanganya na hata mafundisho (theolojia) yake inachanganya sana huyu anafunzisha hivi na yule anafundisha hicho hicho tofauti.
Haya ndio nilivyoyaona katika ndoa hizi.
Ukikua nitakuja kukuoa mtoto mzuri
Ndoa haikuweka na Yesu,wala nabii yoyote yule ndoa iliwekwa na Mungu wakati Mungu alipo muumba mwanamke kutoka katika UBAVU wa mwanaume.Mkuu ukae ukijua kwamba ndoa au kuoana ni utamaduni wa waislam. Wanamfuata kiongizi wao mtume. Wakristo wanaoana wanamfuata nani wakat yesu hakuoa? Ndio maana wakristo wanabuni buni tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Inamnufaisha kimwili mwanaume,ila inawaumiza sana wanawake na watoto.Mwenye mbili si sawa na mwenye moja,angalau uislam umetoa ruhusa ya kuoa mpaka 4 na ruhusa ya kuacha na kuachwa. Katika hili Kuna manufaa mengi sana na ruhusa wengi imewanufaisha, ndoa haiend kwa kulaznishwa mnaweza kuuwana buree
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha porojo. Kwani wanaozaa waote hapa duniani wamefunga ndoa? Ndoa na kuzaa ni vitu viwili tofautiNdoa haikuweka na Yesu,wala nabii yoyote yule ndoa iliwekwa na Mungu wakati Mungu alipo muumba mwanamke kutoka katika UBAVU wa mwanaume.
Mungu mwenyewe alisema nendeni mkaijaze dunia (hii kauli ndio ndoa ).
Asante kwa kuja!.Luka 20:34 Yesu akawaambia,wana wa ulimwengu huu huoa na kuolewa.
Andiko hilo kwa uwazi linataja wale wanaostahili kuoa na kuolewa kuwa ni wana wa ulimwengu huu.Hivyo ili Yesu aoe ingepasa awe na asili ya ulimwengu huu, hebu tumuulize mwenyewe kama alikuwa na asili ya ulimwengu huu au vinginevyo.
Yohana 8:23 Akawaambia, Ninyi ni wachini, mmi ni wajuu, ninyi ni wa
ulimwengu huu, mimi si wa ulimwengu huu.
kwahiyo swala la kuoa na kuolewa linahusika na wale wana wa dunia hii, hivyo kwakuwa asili ya Yesu si dunia hii hilo hakuhusika nalo zaidi sana yeye ni Mungu.
Je wana wa ulimwengu tunaruhusa maalumu ya kuoana?
Yeremia 29:6
oeni wake, mkazae wana na binti; kawaozeni wake wana wenu.
.
UMESHAMJUA KRISTO NI NANI?
Yeremia hakuwa MKRISTO,vipi wewe unayejiita MKRISTO umfuate tena Yeremia?.Luka 20:34 Yesu akawaambia,wana wa ulimwengu huu huoa na kuolewa.
Andiko hilo kwa uwazi linataja wale wanaostahili kuoa na kuolewa kuwa ni wana wa ulimwengu huu.Hivyo ili Yesu aoe ingepasa awe na asili ya ulimwengu huu, hebu tumuulize mwenyewe kama alikuwa na asili ya ulimwengu huu au vinginevyo.
Yohana 8:23 Akawaambia, Ninyi ni wachini, mmi ni wajuu, ninyi ni wa
ulimwengu huu, mimi si wa ulimwengu huu.
kwahiyo swala la kuoa na kuolewa linahusika na wale wana wa dunia hii, hivyo kwakuwa asili ya Yesu si dunia hii hilo hakuhusika nalo zaidi sana yeye ni Mungu.
Je wana wa ulimwengu tunaruhusa maalumu ya kuoana?
Yeremia 29:6
oeni wake, mkazae wana na binti; kawaozeni wake wana wenu.
.
UMESHAMJUA KRISTO NI NANI?
Rudi kwa topic bro.Topic inaeleza Ubora wa ndoa ya kiislam dhidi ya ndoa ya kikristo.mbona unaenda out of topic hapa tunaongealea swala la kusema kwamba kwenye ukristo kuna ndoa za jinsia moja, ndo nataka mniambie hizo ndoa za jinsia moja kwenye ukristo ziko kwenye andiko lipi? na kanisa lipi?
Ukristo ni nini?Yeremia hakuwa MKRISTO,vipi wewe unayejiita MKRISTO umfuate tena Yeremia?.
Sent using Jamii Forums mobile app
Gibberish comment.Asante kwa kuja!.
14 Mimi nimewapa neno lako; na ulimwengu umewachukia; kwa kuwa wao si wa ulimwengu, kama mimi nisivyo wa ulimwengu.
Yohana 17:14
16 Wao si wa ulimwengu, kama mimi nisivyo wa ulimwengu.
Yohana 17:16
Umewaona wafuasi wa Yesu a.k.a Wakristo kuwa na wao si waulimwengu huu?.
Sasa jibu swali langu nililokuuliza:-
Yesu hakuoa, wewe kwa nini uoe?.
Sent using Jamii Forums mobile app
1 Kisha Bwana akanena na Musa, na kumwambia,FaizaFoxy we ajuza
.Brunei brings in stoning to death for gay sex, despite outcry
Shock among LGBT community in tiny southeast Asian kingdom as nation moves towards strict sharia lawwww.theguardian.com
Yohana 8:7
Nao walipozidi kumhoji, alijiinua, akawaambia, Yeye asiye na dhambi miongoni mwenu na awe wa kwanza wa kumtupia jiwe.
Ndoa na kuzaa ni vitu vinavyoenda sawa,Mungu anataka ianze ndoa alafu waje watoto wapatikane ndani ya ndoa ndio dhumuni la Mungu.Kitendo cha kuzaa alafu hamjafunga ndoa mbele za Mungu ni dhambi.Acha porojo. Kwani wanaozaa waote hapa duniani wamefunga ndoa? Ndoa na kuzaa ni vitu viwili tofauti
Sent using Jamii Forums mobile app