Elections 2010 Natamani sana mtu akanushe mambo haya kiuhalisia

Duu huwa hujui unachokioongea na kuandika. Nitakusaidia kidogo kuna watanzania 1.5 - 1.8 Mil wanaoishi kwa Ukimwi kila mwaka. According to Tanzania HIV/AIDS and Malaria Indicator Survey 2008-9 it is estimated that HIV prevalence iko 5.7%. Huna sababu ya kuwa muongo bila sababu. Hizo asilimia 5 umezitoa wapi ? ama source yako ni Yusuf Makamba?

Uje na facts, si juhudi za Kiwete ni mkatakati wa kimataifa kupunguza maambukizo ya HIV huku sub saharan Africa msidandie kama ni mafanikio yenu nyie CCM

Ni nani fascilitator mkubwa hapa TZ???Utachekwa wewe.:becky:Ni serikali au ile NGO yako???
 
Tandale one nadhani wewe ni mgonjwa, sera za ccm unazijua 2005? kuna vitu vingine ni utaratibu wa serikali wa kawaida kabisa kama kuajiri waalim na wataalam wa afya.

Ingekuwaje kama wangeandika mambo hayo halafu wakiuke kutekeleza???Kwa nini tusiwape credit kwa waliyotenda??Mtu akisoma mijadala yetu ilivyo na replies za kitoto atajua tu akili za baadhi ya watu hapa si kitu.Hivi,nani hajui kwamba yapo mafanikio makubwa yaliyopatikana katika kipindi hiki cha miaka mitano???Nani?
 
Ni nani fascilitator mkubwa hapa TZ???Utachekwa wewe.:becky:Ni serikali au ile NGO yako???

Nadhanu huna ufahamu! Ama elimu yako iko chini? Nimekuambia 5.7% wewe umekomaa na 5% Nenda TACAIDS wakupe takwimu. Usiandike ujinga
 
Utoaji wa huduma za Afya uliendelea kuboreshwa kwa kiasi kikubwa na kuleta
mafanikio yafuatayo:-
(a) Kutoka mwaka 2005 hadi 2009, jumla ya zahanati 464, vituo vya afya 98
na nyumba za waganga 394 zilijengwa.
(b) Zahanati 1,037, vituo vya afya 285 na hospitali 112 zimekarabatiwa.
(c) Zahanati zimeongezeka kutoka 4,679 mwaka 2006 hadi 5,422 mwaka
2009.
(d) Vituo vya afya vimeongezeka kutoka 526 hadi kufikia 663 mwaka 2009.
(e) Idadi ya Madaktari imeongezeka kutoka 3,528 mwaka 2005 hadi 4,502
mwaka 2010. Vile vile idadi ya Madaktari Wasaidizi imeongezeka kutoka
9,028 hadi 14,017 katika kipindi hicho hicho.
(f) Idadi ya Wauguzi na Wakunga imeongezeka kutoka 18,123 mwaka 2005
hadi 23,886 mwaka 2010.
(g) Chanjo ya watoto dhidi ya kifua kikuu, polio, kifaduro, pepopunda, donda
koo na homa ya ini iliongezeka kutoka watoto 1,243,388 mwaka 2005
hadi 1,356,421 mwaka 2009. Aidha, watoto waliopatiwa chanjo ya surua
imeongezeka kutoka 1,267,716 hadi 1,455,100 katika kipindi hicho hicho.
(h) Katika kuzuia na kudhibiti malaria Tanzania Bara vyandarua 9,000,000
vyenye viuatilifu vimegawiwa kwa watoto wenye umri wa miaka 5 mwaka
2009/2010 bila malipo. Aidha, vyandarua 4,200,000 vya hati punguzo
viliuzwa kwa mama wajawazito.
(i) Vifo vya watoto chini ya miaka 5 vimepungua kutoka 158 kwa kila 1000
mwaka 2005 hadi 75 kwa kila 1000 mwaka 2010.
(j) Aidha, katika kuleta ufanisi wa huduma za afya, mashine za kuchunguza
damu, uwezo wa figo na ini pamoja na mashine za X-Ray zimewekwa
katika kila hospitali ya wilaya na huduma za maabara zimeimarishwa.
(k) Kitengo cha magonjwa ya moyo kimeanzishwa na upasuaji unafanyika
nchini. Aidha, mashine 7 za kusafisha figo zimefungwa na hivyo
kuwezesha usafishaji wa figo kufanyika hapa nchini.
(l) Maambukizi ya UKIMWI yamepungua kutoka asilimia 7 na kufikia asilimia​

Natamani kuona picha za majengo na Thamani yake...Je yatalingana au itakuwa kama majengo ja BOT
 
Utoaji wa huduma za Afya uliendelea kuboreshwa kwa kiasi kikubwa na kuleta
mafanikio yafuatayo:-
(a) Kutoka mwaka 2005 hadi 2009, jumla ya zahanati 464, vituo vya afya 98
na nyumba za waganga 394 zilijengwa.
(b) Zahanati 1,037, vituo vya afya 285 na hospitali 112 zimekarabatiwa.
(c) Zahanati zimeongezeka kutoka 4,679 mwaka 2006 hadi 5,422 mwaka
2009.
(d) Vituo vya afya vimeongezeka kutoka 526 hadi kufikia 663 mwaka 2009.
(e) Idadi ya Madaktari imeongezeka kutoka 3,528 mwaka 2005 hadi 4,502
mwaka 2010. Vile vile idadi ya Madaktari Wasaidizi imeongezeka kutoka
9,028 hadi 14,017 katika kipindi hicho hicho.
(f) Idadi ya Wauguzi na Wakunga imeongezeka kutoka 18,123 mwaka 2005
hadi 23,886 mwaka 2010.
(g) Chanjo ya watoto dhidi ya kifua kikuu, polio, kifaduro, pepopunda, donda
koo na homa ya ini iliongezeka kutoka watoto 1,243,388 mwaka 2005
hadi 1,356,421 mwaka 2009. Aidha, watoto waliopatiwa chanjo ya surua
imeongezeka kutoka 1,267,716 hadi 1,455,100 katika kipindi hicho hicho.
(h) Katika kuzuia na kudhibiti malaria Tanzania Bara vyandarua 9,000,000
vyenye viuatilifu vimegawiwa kwa watoto wenye umri wa miaka 5 mwaka
2009/2010 bila malipo. Aidha, vyandarua 4,200,000 vya hati punguzo
viliuzwa kwa mama wajawazito.
(i) Vifo vya watoto chini ya miaka 5 vimepungua kutoka 158 kwa kila 1000
mwaka 2005 hadi 75 kwa kila 1000 mwaka 2010.
(j) Aidha, katika kuleta ufanisi wa huduma za afya, mashine za kuchunguza
damu, uwezo wa figo na ini pamoja na mashine za X-Ray zimewekwa
katika kila hospitali ya wilaya na huduma za maabara zimeimarishwa.
(k) Kitengo cha magonjwa ya moyo kimeanzishwa na upasuaji unafanyika
nchini. Aidha, mashine 7 za kusafisha figo zimefungwa na hivyo
kuwezesha usafishaji wa figo kufanyika hapa nchini.
(l) Maambukizi ya UKIMWI yamepungua kutoka asilimia 7 na kufikia asilimia​



CCM KWISHNEY! Chupi zitawabana sana mwaka huu! Hehehehe! Wananchi WAMEAMKA, hawadanganyiki tena! Hizo TAKWIMU haziwasaidii wakinamama ambao mpaka leo usafiri wao kwenda kwenye zahanati - ISIYO NA DAWA, INAYOVUJA WAKATI WA MVUA, YENYE WAUGUZI WACHACHE, ISIYO NA DAKTARI - ni BAISKELI au MKOKOTENI!

-> Mwana wa Haki
 
Send this message to 50 different people thank you

 
Last edited by a moderator:
CCM KWISHNEY! Chupi zitawabana sana mwaka huu! Hehehehe! Wananchi WAMEAMKA, hawadanganyiki tena! Hizo TAKWIMU haziwasaidii wakinamama ambao mpaka leo usafiri wao kwenda kwenye zahanati - ISIYO NA DAWA, INAYOVUJA WAKATI WA MVUA, YENYE WAUGUZI WACHACHE, ISIYO NA DAKTARI - ni BAISKELI au MKOKOTENI!

-> Mwana wa Haki
Toa data.Wako wangapi kati ya wangapi leo na kama idadi yao inalingana na ile ya 1990.:becky:Imekula kwako.
 
Send this message to 50 different people thank you

 
Last edited by a moderator:
Hivi vilipaswa kuwepo na sio zawadi kwa Watanzania kutoka ccm au Kikwete. Hata kutoa ahadi kuwa watafanya hivi, wataleta yale hayapaswi kuongelewa tena katika kampeni za ccm maana vyote hivyo vilipaswa kutekelezwa na serikali husika. Tatizo kubwa lililopo Tanzania sasa ni kukosa uuongozi bora na kuwepo kwa ufisadi ulioshamiri katika ngazi zote za ccm na serikali. ccm wangekuwa na ushawishi kama wangeacha kukumbatia ufisadi na upendeleo na kuelekeza nguvu kuelekea utawala bora.
 
Hivi vilipaswa kuwepo na sio zawadi kwa Watanzania kutoka ccm au Kikwete. Hata kutoa ahadi kuwa watafanya hivi, wataleta yale hayapaswi kuongelewa tena katika kampeni za ccm maana vyote hivyo vilipaswa kutekelezwa na serikali husika. Tatizo kubwa lililopo Tanzania sasa ni kukosa uuongozi bora na kuwepo kwa ufisadi ulioshamiri katika ngazi zote za ccm na serikali. ccm wangekuwa na ushawishi kama wangeacha kukumbatia ufisadi na upendeleo na kuelekeza nguvu kuelekea utawala bora.

Hivi unajua maana ya uongozi bora????????Serikali ingekuwa inakumbatia ufisadi leo hii kungekuwa na kesi mahakamani au uhuru wa magazeti kuyaongelea???Mitandao kama hii si ingeshafungwa???Punguza pumba.Fikiri kabla ya kusema.
 
Hivi unajua maana ya uongozi bora????????Serikali ingekuwa inakumbatia ufisadi leo hii kungekuwa na kesi mahakamani au uhuru wa magazeti kuyaongelea???Mitandao kama hii si ingeshafungwa???Punguza pumba.Fikiri kabla ya kusema.

Nonsensical!
 
Utoaji wa huduma za Afya uliendelea kuboreshwa kwa kiasi kikubwa na kuleta
mafanikio yafuatayo:-
(a) Kutoka mwaka 2005 hadi 2009, jumla ya zahanati 464, vituo vya afya 98
na nyumba za waganga 394 zilijengwa.
(b) Zahanati 1,037, vituo vya afya 285 na hospitali 112 zimekarabatiwa.
(c) Zahanati zimeongezeka kutoka 4,679 mwaka 2006 hadi 5,422 mwaka
2009.
(d) Vituo vya afya vimeongezeka kutoka 526 hadi kufikia 663 mwaka 2009.
(e) Idadi ya Madaktari imeongezeka kutoka 3,528 mwaka 2005 hadi 4,502
mwaka 2010. Vile vile idadi ya Madaktari Wasaidizi imeongezeka kutoka
9,028 hadi 14,017 katika kipindi hicho hicho.
(f) Idadi ya Wauguzi na Wakunga imeongezeka kutoka 18,123 mwaka 2005
hadi 23,886 mwaka 2010.
(g) Chanjo ya watoto dhidi ya kifua kikuu, polio, kifaduro, pepopunda, donda
koo na homa ya ini iliongezeka kutoka watoto 1,243,388 mwaka 2005
hadi 1,356,421 mwaka 2009. Aidha, watoto waliopatiwa chanjo ya surua
imeongezeka kutoka 1,267,716 hadi 1,455,100 katika kipindi hicho hicho.
(h) Katika kuzuia na kudhibiti malaria Tanzania Bara vyandarua 9,000,000
vyenye viuatilifu vimegawiwa kwa watoto wenye umri wa miaka 5 mwaka
2009/2010 bila malipo. Aidha, vyandarua 4,200,000 vya hati punguzo
viliuzwa kwa mama wajawazito.
(i) Vifo vya watoto chini ya miaka 5 vimepungua kutoka 158 kwa kila 1000
mwaka 2005 hadi 75 kwa kila 1000 mwaka 2010.
(j) Aidha, katika kuleta ufanisi wa huduma za afya, mashine za kuchunguza
damu, uwezo wa figo na ini pamoja na mashine za X-Ray zimewekwa
katika kila hospitali ya wilaya na huduma za maabara zimeimarishwa.
(k) Kitengo cha magonjwa ya moyo kimeanzishwa na upasuaji unafanyika
nchini. Aidha, mashine 7 za kusafisha figo zimefungwa na hivyo
kuwezesha usafishaji wa figo kufanyika hapa nchini.
(l) Maambukizi ya UKIMWI yamepungua kutoka asilimia 7 na kufikia asilimia​


nakupongeza kwa sababu ya ufinyu wa kufikiri .hayo unayoyaita maendelo ni sawa kama yangekuwa kwa nchi kama somalia na si tz piga hesabu ya gharama zote utoe za wafadhili na michango ya wananchi uone kama hizo hela zinalingana na utajiri wa mafisada wawili wa ccm.rostam na lowasa. huo upuuzi kamsimulie mkeo chumbani.nyambaf
 
Tatizo unalalama lalama na hivyo vi namba bila kutuambia lengo lilifikiwa kiasi gani, unaposema vituo vya afya 98 vilijengwa lengo lilikuwa vingapi/mahitaji ni kiasi gani ona hili la nyumba za waalimu hafau tuone kama utajivunia na jilo
.Mwaka 2008, Serikali ilipanga kujenga takriban nyumba za walimu 22,000, lakini zilizojengwa ni kama nyumba 300; yaani asilimia moja tu. Kutokana na upungufu wa nyumba za walimu, walimu wachache waliopo shuleni wanalazimika kufundisha kwa muda mrefu na hata kufundisha masomo wasiyoyasomea. Hali hii inadumaza elimu. Kuna upungufu mkubwa wa nyumba za walimu. Japo hazitoshi, ni muhimu sasa Serikali itekeleze ahadi ya kujenga nyumba 22,000 za walimu, kama mpango wa MMEM unavyosema, kwa mwaka 2010/ 2011".

Source;
Primary Education Development Programme II (2007-2011): Annual Performance Report FY- 2007/2008)
 
nakupongeza kwa sababu ya ufinyu wa kufikiri .hayo unayoyaita maendelo ni sawa kama yangekuwa kwa nchi kama somalia na si tz piga hesabu ya gharama zote utoe za wafadhili na michango ya wananchi uone kama hizo hela zinalingana na utajiri wa mafisada wawili wa ccm.rostam na lowasa. huo upuuzi kamsimulie mkeo chumbani.nyambaf

Hivi unajua kweli historia ya familia ya Lowassa na ile ya Rostam???2nd,hivi unajua maana ya Azimio la Zanzibar????Kumbe hata nchi huifahamu.Endelea kumeza maneno.:becky:Siku ukijipanga kwa points uje hapa
 
Tatizo unalalama lalama na hivyo vi namba bila kutuambia lengo lilifikiwa kiasi gani, unaposema vituo vya afya 98 vilijengwa lengo lilikuwa vingapi/mahitaji ni kiasi gani ona hili la nyumba za waalimu hafau tuone kama utajivunia na jilo
.Mwaka 2008, Serikali ilipanga kujenga takriban nyumba za walimu 22,000, lakini zilizojengwa ni kama nyumba 300; yaani asilimia moja tu. Kutokana na upungufu wa nyumba za walimu, walimu wachache waliopo shuleni wanalazimika kufundisha kwa muda mrefu na hata kufundisha masomo wasiyoyasomea. Hali hii inadumaza elimu. Kuna upungufu mkubwa wa nyumba za walimu. Japo hazitoshi, ni muhimu sasa Serikali itekeleze ahadi ya kujenga nyumba 22,000 za walimu, kama mpango wa MMEM unavyosema, kwa mwaka 2010/ 2011".
Source;
Primary Education Development Programme II (2007-2011): Annual Performance Report FY- 2007/2008)

Rubbish.Uko nje ya topic yangu
 
Back
Top Bottom