chlorine gas
JF-Expert Member
- Jun 12, 2015
- 2,490
- 2,574
Ha ha haLabda Anaenda kozi ya jw siyo JKT. HII AWAMU TAABU TUPU
Ha ha haLabda Anaenda kozi ya jw siyo JKT. HII AWAMU TAABU TUPU
Tanga kuna mafunzo ya JW mkuu?
Pole sana mkuu..!!
Habar za muda huu wana jf
Mimi ni kijana wa miaka 25+ niende moja kwa moja kwenye maada ndoto yangu kubwa ni kuwa soldier tokea nikiwa mdogo nilikuwa nataman san kuwa mjeda ila muda ulikuwa hujatimia ila kwasas naona ndio muda mwafaka baada ya kuhitim shahada . lengo LA hii thread ni kutaka kujua wapi pakuanzia au kuna process gani ili niweze kufanikiwa katika hili ? Karibun kwa maelezo na ushauri pia.
Habar za muda huu wana jf
Mimi ni kijana wa miaka 25+ niende moja kwa moja kwenye maada ndoto yangu kubwa ni kuwa soldier tokea nikiwa mdogo nilikuwa nataman san kuwa mjeda ila muda ulikuwa hujatimia ila kwasas naona ndio muda mwafaka baada ya kuhitim shahada . lengo LA hii thread ni kutaka kujua wapi pakuanzia au kuna process gani ili niweze kufanikiwa katika hili ? Karibun kwa maelezo na ushauri pia.
Sio mbaya shule za jeshi tunazo kibao tu atafundisha.una degree ya kitu gani kwanza isije kua BAED unataka jeshi
Sio mbaya shule za jeshi tunazo kibao tu atafundisha.