Kuwa mtumishi wa serikali unatoboa maisha, sasa sielewi wewe unakwama wapi

Feb 2, 2023
9
18
"Kuwa mtumishi wa serikali unatoboa maisha, sasa sielewi wewe unakwama wapi"

Haya ni maneno niliyokua nikisikia kipindi cha awali but unfortunately ukweli wake umekuwa mdogo kama Mbegu ya Bamia Japo I know some of watumishi wamefanikisha ila ninachofahamu mimi ni kwa misingi au mikakati fulani ambao binafsi wametumia.

Kiufupi Maneno ni mengi sana juu ya kuendea suala zima la kufanikisha maisha hususani kwa watumishi Na kati ya yote nimegundua kuwa kufanikiwa kwa mtumishi ni Elimu kubwa kuliko ya Chuo kikuu.

Wengi walianza biashara au shughuli fulani na wakashindwa kwasabab fulani, Sababu ziko nyingi ila kwa uchache nita share nanyi why? Watumishi hawafanikishi malengo ya maisha yao;

1: PESA/FEDHA
Watumishi wengi hawajui namna gani ya kuwa na adabu nzuri juu ya pesa mfano mshahara ukiingia unatumiwa wote unaisha au akipata pesa ya ziada huitumia ikaisha, pia vile vile huchukulia simple sana mambo ya miamala(pesa) au kwa lugha nyepesi they dont care at all losing money sababu atapata next month, Apa ipo mifano mingi sana ila tutosheke na iki kidogo.

2: HESABU/MAHESABU
Tamaa hupeleka watumishi mbio kiasi kuwa hawafanyi tathmini wao huchukua tu pesa na kufanya jambo fulani na mara nyingine jambo huenda likawa la msingi kama vile ujenzi wa nyumba, ila Mahesabu ya makato ya ile fedha aliyokopa ndio hayatizami kabisa unakuta anakatwa almost nusu na robo ya riba ya ile pesa aliyokopa lets say kakopa 10Mil atapewa maybe 8.5Mil due to processing fee na kuirejesha kama 16Mil baada ya muda fulani sasa apo kimahesabu ni hatari sana.

3: MIPANGO/MIKAKATI
"Nimechukua mkopo wa 5Mil nahitaji kufanya biashara ya kuku nasikia inalipa sana" Ni vema kuwa na mipango kwanza kabla ya kuwa na fedha sababu mpango/mkakati wako utakuambia ni namna gani ufanye na kwa wakati gani na kiasi gani

4: UJUZI/MAARIFA
Umeshawahi jiuliza kila mwalimu kwanini akifanya biashara hudondokea Stationary au Co's Wanadondokea Pharmacy and so, sipingi kwamba hizi sio biashara nzuri bali najaribu kusema ni vema kuongeza ujuzi/maarifa ili kujitahidi kufanya lengo la maisha mazuri litimie kwa watumishi na najua ni ngumu but at least jitihada zitazaa tu matunda.

5: LIFE STYLE (MTINDO WA MAISHA)
"Hello, Bro njo kwa juu apa.....Bar&lounge tupate Maji ya Gold kidogo" Unakuta watumishi ndio wanaongoza kuwa na mtindo mbaya wa maisha kushinda wafanyabiashara yani unakuta ulevi ni moto umalaya moto Trust me vitu hivi viwili haivijawahi kuleta urahisi isipokuwa ugumu wa maisha tu, Na kikubwa siyo kuacha starehe bali kuangalia ni aina gani ya starehe utakayichagua na ni kwa kiasi gani itakugharimu katika maisha yako.

KWASASA NIKOMEE APA SOON NTALETA MWENDELEZO, Please Comment&Share.

IMG-20230704-WA0005.jpg
 
"Kuwa mtumishi wa serikali unatoboa maisha, sasa sielewi wewe unakwama wapi"

Haya ni maneno niliyokua nikisikia kipindi cha awali but unfortunately ukweli wake umekuwa mdogo kama Mbegu ya Bamia Japo I know some of watumishi wamefanikisha ila ninachofahamu mimi ni kwa misingi au mikakati fulani ambao binafsi wametumia.

Kiufupi Maneno ni mengi sana juu ya kuendea suala zima la kufanikisha maisha hususani kwa watumishi Na kati ya yote nimegundua kuwa kufanikiwa kwa mtumishi ni Elimu kubwa kuliko ya Chuo kikuu.

Wengi walianza biashara au shughuli fulani na wakashindwa kwasabab fulani, Sababu ziko nyingi ila kwa uchache nita share nanyi why? Watumishi hawafanikishi malengo ya maisha yao;

1: PESA/FEDHA
Watumishi wengi hawajui namna gani ya kuwa na adabu nzuri juu ya pesa mfano mshahara ukiingia unatumiwa wote unaisha au akipata pesa ya ziada huitumia ikaisha, pia vile vile huchukulia simple sana mambo ya miamala(pesa) au kwa lugha nyepesi they dont care at all losing money sababu atapata next month, Apa ipo mifano mingi sana ila tutosheke na iki kidogo.

2: HESABU/MAHESABU
Tamaa hupeleka watumishi mbio kiasi kuwa hawafanyi tathmini wao huchukua tu pesa na kufanya jambo fulani na mara nyingine jambo huenda likawa la msingi kama vile ujenzi wa nyumba, ila Mahesabu ya makato ya ile fedha aliyokopa ndio hayatizami kabisa unakuta anakatwa almost nusu na robo ya riba ya ile pesa aliyokopa lets say kakopa 10Mil atapewa maybe 8.5Mil due to processing fee na kuirejesha kama 16Mil baada ya muda fulani sasa apo kimahesabu ni hatari sana.

3: MIPANGO/MIKAKATI
"Nimechukua mkopo wa 5Mil nahitaji kufanya biashara ya kuku nasikia inalipa sana" Ni vema kuwa na mipango kwanza kabla ya kuwa na fedha sababu mpango/mkakati wako utakuambia ni namna gani ufanye na kwa wakati gani na kiasi gani

4: UJUZI/MAARIFA
Umeshawahi jiuliza kila mwalimu kwanini akifanya biashara hudondokea Stationary au Co's Wanadondokea Pharmacy and so, sipingi kwamba hizi sio biashara nzuri bali najaribu kusema ni vema kuongeza ujuzi/maarifa ili kujitahidi kufanya lengo la maisha mazuri litimie kwa watumishi na najua ni ngumu but at least jitihada zitazaa tu matunda.

5: LIFE STYLE (MTINDO WA MAISHA)
"Hello, Bro njo kwa juu apa.....Bar&lounge tupate Maji ya Gold kidogo" Unakuta watumishi ndio wanaongoza kuwa na mtindo mbaya wa maisha kushinda wafanyabiashara yani unakuta ulevi ni moto umalaya moto Trust me vitu hivi viwili haivijawahi kuleta urahisi isipokuwa ugumu wa maisha tu, Na kikubwa siyo kuacha starehe bali kuangalia ni aina gani ya starehe utakayichagua na ni kwa kiasi gani itakugharimu katika maisha yako.

KWASASA NIKOMEE APA SOON NTALETA MWENDELEZO, Please Comment&Share.

View attachment 2678184
 
"Kuwa mtumishi wa serikali unatoboa maisha, sasa sielewi wewe unakwama wapi"

Haya ni maneno niliyokua nikisikia kipindi cha awali but unfortunately ukweli wake umekuwa mdogo kama Mbegu ya Bamia Japo I know some of watumishi wamefanikisha ila ninachofahamu mimi ni kwa misingi au mikakati fulani ambao binafsi wametumia.

Kiufupi Maneno ni mengi sana juu ya kuendea suala zima la kufanikisha maisha hususani kwa watumishi Na kati ya yote nimegundua kuwa kufanikiwa kwa mtumishi ni Elimu kubwa kuliko ya Chuo kikuu.

Wengi walianza biashara au shughuli fulani na wakashindwa kwasabab fulani, Sababu ziko nyingi ila kwa uchache nita share nanyi why? Watumishi hawafanikishi malengo ya maisha yao;

1: PESA/FEDHA
Watumishi wengi hawajui namna gani ya kuwa na adabu nzuri juu ya pesa mfano mshahara ukiingia unatumiwa wote unaisha au akipata pesa ya ziada huitumia ikaisha, pia vile vile huchukulia simple sana mambo ya miamala(pesa) au kwa lugha nyepesi they dont care at all losing money sababu atapata next month, Apa ipo mifano mingi sana ila tutosheke na iki kidogo.

2: HESABU/MAHESABU
Tamaa hupeleka watumishi mbio kiasi kuwa hawafanyi tathmini wao huchukua tu pesa na kufanya jambo fulani na mara nyingine jambo huenda likawa la msingi kama vile ujenzi wa nyumba, ila Mahesabu ya makato ya ile fedha aliyokopa ndio hayatizami kabisa unakuta anakatwa almost nusu na robo ya riba ya ile pesa aliyokopa lets say kakopa 10Mil atapewa maybe 8.5Mil due to processing fee na kuirejesha kama 16Mil baada ya muda fulani sasa apo kimahesabu ni hatari sana.

3: MIPANGO/MIKAKATI
"Nimechukua mkopo wa 5Mil nahitaji kufanya biashara ya kuku nasikia inalipa sana" Ni vema kuwa na mipango kwanza kabla ya kuwa na fedha sababu mpango/mkakati wako utakuambia ni namna gani ufanye na kwa wakati gani na kiasi gani

4: UJUZI/MAARIFA
Umeshawahi jiuliza kila mwalimu kwanini akifanya biashara hudondokea Stationary au Co's Wanadondokea Pharmacy and so, sipingi kwamba hizi sio biashara nzuri bali najaribu kusema ni vema kuongeza ujuzi/maarifa ili kujitahidi kufanya lengo la maisha mazuri litimie kwa watumishi na najua ni ngumu but at least jitihada zitazaa tu matunda.

5: LIFE STYLE (MTINDO WA MAISHA)
"Hello, Bro njo kwa juu apa.....Bar&lounge tupate Maji ya Gold kidogo" Unakuta watumishi ndio wanaongoza kuwa na mtindo mbaya wa maisha kushinda wafanyabiashara yani unakuta ulevi ni moto umalaya moto Trust me vitu hivi viwili haivijawahi kuleta urahisi isipokuwa ugumu wa maisha tu, Na kikubwa siyo kuacha starehe bali kuangalia ni aina gani ya starehe utakayichagua na ni kwa kiasi gani itakugharimu katika maisha yako.

KWASASA NIKOMEE APA SOON NTALETA MWENDELEZO, Please Comment&Share.

View attachment 2678184

Neno makini.

#YNWA
 
Hakuna watu wanaofeli zaidi kwasasa kama walimu wanaoamua kuoana,zaidi au kitu cha msingi wanachoweza kujitahid kukifanya ni kujenga nyumba Tena wanaofanikiwa kujenga hzo nyumba ni wale ambao couple yao mwanamke ni mjanja na mpambanaji
 
Ninachokiona ni mzunguko wa pesa. Ni hivii watumishi wa umma sio wachoyo, Wote hatuwezi kuwa na money management na cashflow ya uhakika. Inatubidi wengine tuwepo ili ziwe zinatoka, tunatafuta tunagawa.
Bwana Kiyosaki umenena mazuri ila wote hatuwezi kuwa kama wewe.
 
"Kuwa mtumishi wa serikali unatoboa maisha, sasa sielewi wewe unakwama wapi"

Haya ni maneno niliyokua nikisikia kipindi cha awali but unfortunately ukweli wake umekuwa mdogo kama Mbegu ya Bamia Japo I know some of watumishi wamefanikisha ila ninachofahamu mimi ni kwa misingi au mikakati fulani ambao binafsi wametumia.

Kiufupi Maneno ni mengi sana juu ya kuendea suala zima la kufanikisha maisha hususani kwa watumishi Na kati ya yote nimegundua kuwa kufanikiwa kwa mtumishi ni Elimu kubwa kuliko ya Chuo kikuu.

Wengi walianza biashara au shughuli fulani na wakashindwa kwasabab fulani, Sababu ziko nyingi ila kwa uchache nita share nanyi why? Watumishi hawafanikishi malengo ya maisha yao;

1: PESA/FEDHA
Watumishi wengi hawajui namna gani ya kuwa na adabu nzuri juu ya pesa mfano mshahara ukiingia unatumiwa wote unaisha au akipata pesa ya ziada huitumia ikaisha, pia vile vile huchukulia simple sana mambo ya miamala(pesa) au kwa lugha nyepesi they dont care at all losing money sababu atapata next month, Apa ipo mifano mingi sana ila tutosheke na iki kidogo.

2: HESABU/MAHESABU
Tamaa hupeleka watumishi mbio kiasi kuwa hawafanyi tathmini wao huchukua tu pesa na kufanya jambo fulani na mara nyingine jambo huenda likawa la msingi kama vile ujenzi wa nyumba, ila Mahesabu ya makato ya ile fedha aliyokopa ndio hayatizami kabisa unakuta anakatwa almost nusu na robo ya riba ya ile pesa aliyokopa lets say kakopa 10Mil atapewa maybe 8.5Mil due to processing fee na kuirejesha kama 16Mil baada ya muda fulani sasa apo kimahesabu ni hatari sana.

3: MIPANGO/MIKAKATI
"Nimechukua mkopo wa 5Mil nahitaji kufanya biashara ya kuku nasikia inalipa sana" Ni vema kuwa na mipango kwanza kabla ya kuwa na fedha sababu mpango/mkakati wako utakuambia ni namna gani ufanye na kwa wakati gani na kiasi gani

4: UJUZI/MAARIFA
Umeshawahi jiuliza kila mwalimu kwanini akifanya biashara hudondokea Stationary au Co's Wanadondokea Pharmacy and so, sipingi kwamba hizi sio biashara nzuri bali najaribu kusema ni vema kuongeza ujuzi/maarifa ili kujitahidi kufanya lengo la maisha mazuri litimie kwa watumishi na najua ni ngumu but at least jitihada zitazaa tu matunda.

5: LIFE STYLE (MTINDO WA MAISHA)
"Hello, Bro njo kwa juu apa.....Bar&lounge tupate Maji ya Gold kidogo" Unakuta watumishi ndio wanaongoza kuwa na mtindo mbaya wa maisha kushinda wafanyabiashara yani unakuta ulevi ni moto umalaya moto Trust me vitu hivi viwili haivijawahi kuleta urahisi isipokuwa ugumu wa maisha tu, Na kikubwa siyo kuacha starehe bali kuangalia ni aina gani ya starehe utakayichagua na ni kwa kiasi gani itakugharimu katika maisha yako.

KWASASA NIKOMEE APA SOON NTALETA MWENDELEZO, Please Comment&Share.

View attachment 2678184
Jobless michoko na wajasiriamali wa mchongo mnapenda sana kushauri wafanyakazi utafikiri wanaomba ushauri wenu.

Mnapenda sana kuonesha kuwa mnawahurumia sana wafanyakazi, nnawaona wanateseka mnoo🤣

Halafu mwisho wa vijihela vyao ndio mnavizia tena
 
Pambana kuwa mtu wa thamani na brand (uhalisia wako) ukubebe.

Kuna watu wanaishi maisha ya kawaida ya kila siku na wanalipwa kupitia lifestyle yao.

Siyo wote wanaweza kuielewa hii.
 
LLa
"Kuwa mtumishi wa serikali unatoboa maisha, sasa sielewi wewe unakwama wapi"

Haya ni maneno niliyokua nikisikia kipindi cha awali but unfortunately ukweli wake umekuwa mdogo kama Mbegu ya Bamia Japo I know some of watumishi wamefanikisha ila ninachofahamu mimi ni kwa misingi au mikakati fulani ambao binafsi wametumia.

Kiufupi Maneno ni mengi sana juu ya kuendea suala zima la kufanikisha maisha hususani kwa watumishi Na kati ya yote nimegundua kuwa kufanikiwa kwa mtumishi ni Elimu kubwa kuliko ya Chuo kikuu.

Wengi walianza biashara au shughuli fulani na wakashindwa kwasabab fulani, Sababu ziko nyingi ila kwa uchache nita share nanyi why? Watumishi hawafanikishi malengo ya maisha yao;

1: PESA/FEDHA
Watumishi wengi hawajui namna gani ya kuwa na adabu nzuri juu ya pesa mfano mshahara ukiingia unatumiwa wote unaisha au akipata pesa ya ziada huitumia ikaisha, pia vile vile huchukulia simple sana mambo ya miamala(pesa) au kwa lugha nyepesi they dont care at all losing money sababu atapata next month, Apa ipo mifano mingi sana ila tutosheke na iki kidogo.

2: HESABU/MAHESABU
Tamaa hupeleka watumishi mbio kiasi kuwa hawafanyi tathmini wao huchukua tu pesa na kufanya jambo fulani na mara nyingine jambo huenda likawa la msingi kama vile ujenzi wa nyumba, ila Mahesabu ya makato ya ile fedha aliyokopa ndio hayatizami kabisa unakuta anakatwa almost nusu na robo ya riba ya ile pesa aliyokopa lets say kakopa 10Mil atapewa maybe 8.5Mil due to processing fee na kuirejesha kama 16Mil baada ya muda fulani sasa apo kimahesabu ni hatari sana.

3: MIPANGO/MIKAKATI
"Nimechukua mkopo wa 5Mil nahitaji kufanya biashara ya kuku nasikia inalipa sana" Ni vema kuwa na mipango kwanza kabla ya kuwa na fedha sababu mpango/mkakati wako utakuambia ni namna gani ufanye na kwa wakati gani na kiasi gani

4: UJUZI/MAARIFA
Umeshawahi jiuliza kila mwalimu kwanini akifanya biashara hudondokea Stationary au Co's Wanadondokea Pharmacy and so, sipingi kwamba hizi sio biashara nzuri bali najaribu kusema ni vema kuongeza ujuzi/maarifa ili kujitahidi kufanya lengo la maisha mazuri litimie kwa watumishi na najua ni ngumu but at least jitihada zitazaa tu matunda.

5: LIFE STYLE (MTINDO WA MAISHA)
"Hello, Bro njo kwa juu apa.....Bar&lounge tupate Maji ya Gold kidogo" Unakuta watumishi ndio wanaongoza kuwa na mtindo mbaya wa maisha kushinda wafanyabiashara yani unakuta ulevi ni moto umalaya moto Trust me vitu hivi viwili haivijawahi kuleta urahisi isipokuwa ugumu wa maisha tu, Na kikubwa siyo kuacha starehe bali kuangalia ni aina gani ya starehe utakayichagua na ni kwa kiasi gani itakugharimu katika maisha yako.

KWASASA NIKOMEE APA SOON NTALETA MWENDELEZO, Please Comment&Share.

View attachment 2678184
Labda uwe mwizi, fisadi na mpiga madili
 
Hivi kwanini ikija mada ya watumishi mojamoja akili tunapeleka kwa walimu? Vipi police sio watumishi, wauguzi je
 
Back
Top Bottom