comrade_kipepe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2019
- 8,191
- 16,388
- Thread starter
- #61
[emoji23][emoji23]Matlida sio mtu mzuri 😀 😀 😛
[emoji23][emoji23]Matlida sio mtu mzuri 😀 😀 😛
Na bado ukikutana na mwingine naomba akuchune hadi ngozi.[emoji23][emoji23]
Haina shida.Na bado ukikutana na mwingine naomba akuchune hadi ngozi.
karibuNakuja Pm
Hahaaa tajiri kipepe umeingizwa mjini, poleee, tena ukafunga uzi kabisa tusikusumbue tena pm umempata mtoto Matilda dah, Mat muonee huruma babe kipepeeeNdio wewe, ushakula pesa zangu unajidai hunijui
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]Hahaaa tajiri kipepe umeingizwa mjini, poleee, tena ukafunga uzi kabisa tusikusumbue tena pm umempata mtoto Matilda dah, Mat muonee huruma babe kipepeee
Siku nyingine uwe makini na maamuzi yako,haya usilie nipo hapa, sina tabia kama za Mat hahaaa[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Kwani huyu mrembo sio mkali mkuu ?Nataka demu mkali, huyo hanifai.
Taja sifa angalau tatu anazotakiwa kuwa nazo mumeo mtarajiwaSifanani nae
Njoo unipooze maumivuSiku nyingine uwe makini na maamuzi yako,haya usilie nipo hapa, sina tabia kama za Mat hahaaa
Wa kawaidaKwani huyu mrembo sio mkali mkuu ?
Mbona mtoto yupo classic sana.Wa kawaida
Hahahahaha yes nimefeel tatizo lakeUmeandika kwa hisia sana.
Smart guy
@Agata umeolewa..??Unapata unaofanana nao
Huonagi mawe yangu kule Siasani.Pole anza kuingia jukwaa la international au Intelligence ndio wadada watakuchukulia serious..lol
Sijui wako wapi hao