Natamani sana kuoa

Natamani sana kuoa

Eebana kua na tabia ya kutembea na wanawake hovyo sio ujanja, najiwa na feelings za kupata mwanamke mwenye Tabia njema na Alieshika dini.

Nina mkosi gani mimi unakuta napanga future na mwanamke lakini mwisho wa siku ananigeuka na kusahau yote tuliopanga pamoja na gharama zangu zote nilizopoteza.

Nimempata Matilda hapa JF hata mwezi haujaisha kashaanza kuniletea mapicha, shenziiiiii!

eeeh mungu au ulishapanga tokea nazaliwa mimi nife nikiwa sina mke?! hii ni nini sasa??! aaaagh!

hembu ngoja nibaki tuu single itafahamika mbele kwa mbele maana mambo yanavyoenda inakua kinyume na matarajio.

AMA HAKIKA, unaweza ukawa Handsome na pesa unazo na usipate mapenzi ya kweli.


mimi siye.
Wenye hela wamekaa kimya hawaongei pengine matilda amelijua hilo huna hela naumesema unazo akasepa
 
Eebana kua na tabia ya kutembea na wanawake hovyo sio ujanja, najiwa na feelings za kupata mwanamke mwenye Tabia njema na Alieshika dini.

Nina mkosi gani mimi unakuta napanga future na mwanamke lakini mwisho wa siku ananigeuka na kusahau yote tuliopanga pamoja na gharama zangu zote nilizopoteza.

Nimempata Matilda hapa JF hata mwezi haujaisha kashaanza kuniletea mapicha, shenziiiiii!

eeeh mungu au ulishapanga tokea nazaliwa mimi nife nikiwa sina mke?! hii ni nini sasa??! aaaagh!

hembu ngoja nibaki tuu single itafahamika mbele kwa mbele maana mambo yanavyoenda inakua kinyume na matarajio.

AMA HAKIKA, unaweza ukawa Handsome na pesa unazo na usipate mapenzi ya kweli.


mimi siye.

Basi ni chukue mm tuyajenge.kwani sibado unakile kibanda cha chips.
 
Umalaya dili kipindi hiki......kazi kwako kusuka au kunyoa
Eebana kua na tabia ya kutembea na wanawake hovyo sio ujanja, najiwa na feelings za kupata mwanamke mwenye Tabia njema na Alieshika dini.

Nina mkosi gani mimi unakuta napanga future na mwanamke lakini mwisho wa siku ananigeuka na kusahau yote tuliopanga pamoja na gharama zangu zote nilizopoteza.

Nimempata Matilda hapa JF hata mwezi haujaisha kashaanza kuniletea mapicha, shenziiiiii!

eeeh mungu au ulishapanga tokea nazaliwa mimi nife nikiwa sina mke?! hii ni nini sasa??! aaaagh!

hembu ngoja nibaki tuu single itafahamika mbele kwa mbele maana mambo yanavyoenda inakua kinyume na matarajio.

AMA HAKIKA, unaweza ukawa Handsome na pesa unazo na usipate mapenzi ya kweli.


mimi siye.
 
Mkuu tatizo lako limeshajulikana, kama hela unazo, muonekano unao, basi tatizo litakuwa unaumwa ugonjwa wakuku
 
Eebana kua na tabia ya kutembea na wanawake hovyo sio ujanja, najiwa na feelings za kupata mwanamke mwenye Tabia njema na Alieshika dini.

Nina mkosi gani mimi unakuta napanga future na mwanamke lakini mwisho wa siku ananigeuka na kusahau yote tuliopanga pamoja na gharama zangu zote nilizopoteza.

Nimempata Matilda hapa JF hata mwezi haujaisha kashaanza kuniletea mapicha, shenziiiiii!

eeeh mungu au ulishapanga tokea nazaliwa mimi nife nikiwa sina mke?! hii ni nini sasa??! aaaagh!

hembu ngoja nibaki tuu single itafahamika mbele kwa mbele maana mambo yanavyoenda inakua kinyume na matarajio.

AMA HAKIKA, unaweza ukawa Handsome na pesa unazo na usipate mapenzi ya kweli.


mimi siye.
Njoo nikupigee kisomo tuondoe mikosi na nikupandishe nyota ili uwe na mvuto warembo wadumu kwako bei ni sawa na bureee kabisa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom