Natamani ningekuwa mbunge wa chadema!

Tolowski

Senior Member
Apr 28, 2011
122
20
Nowadays kuwa mbunge wa chadema ni raha sana! Huku unapiga fedha za ubunge,huku unalipwa posho ya kuandamana vijiji vyote vya tanzania! Wakivimaliza hivi vijiji akina mnyika watakuwa matajiri sana,kwa siku si chini ya laki 2 kwa miaka 5,duh! Jamaa wanatumbua sana katika hii nchi maskini! Tuliowachagua wame2toselea mbali wenyewe wanatalii tu vijijini! Sijawahi kuona siasa ya kishamba namna hii duniani kote! Kwa staili hii ccm watatawala milele! Wabunge wachadema nawaonea wivu kwa maposho mawili mawili wanayoyapata!!POSHO ZA UBUNGE NA POSHO ZA KUZURURA NA PADIRI VIJIJINI
 
Nowadays kuwa mbunge wa chadema ni raha sana! Huku unapiga fedha za ubunge,huku unalipwa posho ya kuandamana vijiji vyote vya tanzania! Wakivimaliza hivi vijiji akina mnyika watakuwa matajiri sana,kwa siku si chini ya laki 2 kwa miaka 5,duh! Jamaa wanatumbua sana katika hii nchi maskini! Tuliowachagua wame2toselea mbali wenyewe wanatalii tu vijijini! Sijawahi kuona siasa ya kishamba namna hii duniani kote! Kwa staili hii ccm watatawala milele! Wabunge wachadema nawaonea wivu kwa maposho mawili mawili wanayoyapata!!POSHO ZA UBUNGE NA POSHO ZA KUZURURA NA PADIRI VIJIJINI

Pesa za EPA ziko wapi?
 
Nowadays kuwa mbunge wa chadema ni raha sana! Huku unapiga fedha za ubunge,huku unalipwa posho ya kuandamana vijiji vyote vya tanzania! Wakivimaliza hivi vijiji akina mnyika watakuwa matajiri sana,kwa siku si chini ya laki 2 kwa miaka 5,duh! Jamaa wanatumbua sana katika hii nchi maskini! Tuliowachagua wame2toselea mbali wenyewe wanatalii tu vijijini! Sijawahi kuona siasa ya kishamba namna hii duniani kote! Kwa staili hii ccm watatawala milele! Wabunge wachadema nawaonea wivu kwa maposho mawili mawili wanayoyapata!!POSHO ZA UBUNGE NA POSHO ZA KUZURURA NA PADIRI VIJIJINI

Kwa akili zako wewe siasa gani si kishamba ? Na nani kasema wanalipwa posho huko kwa siku ? Huu ni uzshi na nadhani unahitaji kueleweshwa .Ultaka waafanye nini sasa .Wanakijenga Chama chao na hakuna namna ni kuingia hadi vijijini kila wakiweza hili linakuumiza sana kwamba wanaimaliza CCM nguvu ? POle sana mkuu
 
sHEIKH simba 'maisha yamekuwa rahisi,mazuri,matamu ila JK anaandamwa kwa dini yake'
Nape;CDM =cHAGGA
jk+Makamba=CDM ni wakristo

hivi ukiwa ccm ubongo unaozaaaaaaaaaaaaaaa
 
Mimi si ccm!naihate kwa sana tu,ila sikubaliani na hizi siasa za kishamba za chadema! Kama vipi wagoogle politics waone modern politics zinavyokuwa
Kwa akili zako wewe siasa gani si kishamba ? Na nani kasema wanalipwa posho huko kwa siku ? Huu ni uzshi na nadhani unahitaji kueleweshwa .Ultaka waafanye nini sasa .Wanakijenga Chama chao na hakuna namna ni kuingia hadi vijijini kila wakiweza hili linakuumiza sana kwamba wanaimaliza CCM nguvu ? POle sana mkuu
 
Mimi si ccm!naihate kwa sana tu,ila sikubaliani na hizi siasa za kishamba za chadema! Kama vipi wagoogle politics waone modern politics zinavyokuwa
modern politics ya ccm magamba?
hii ya mtoto wa rais kuwa bilionea?
hii ya houseboy wa binamu wa mke wa rais kutembelea benzi?
au hii ya NAPE+JK ?
AU UDINI wa JK?
 
  • Thanks
Reactions: LAT
Mzee unamtindio wa ubongo! Umeona wapi mtu anatoka nje ya kituo cha kazi halipwi! Kwa taarifa yako padiri muasi anapiga 700000 kwa kila siku1 anayozurura vijijini na wabunge wetu 2liowachagua watuwakilishe
Kwa akili zako wewe siasa gani si kishamba ? Na nani kasema wanalipwa posho huko kwa siku ? Huu ni uzshi na nadhani unahitaji kueleweshwa .Ultaka waafanye nini sasa .Wanakijenga Chama chao na hakuna namna ni kuingia hadi vijijini kila wakiweza hili linakuumiza sana kwamba wanaimaliza CCM nguvu ? POle sana mkuu
 
Nowadays kuwa mbunge wa chadema ni raha sana! Huku unapiga fedha za ubunge,huku unalipwa posho ya kuandamana vijiji vyote vya tanzania! Wakivimaliza hivi vijiji akina mnyika watakuwa matajiri sana,kwa siku si chini ya laki 2 kwa miaka 5,duh! Jamaa wanatumbua sana katika hii nchi maskini! Tuliowachagua wame2toselea mbali wenyewe wanatalii tu vijijini! Sijawahi kuona siasa ya kishamba namna hii duniani kote! Kwa staili hii ccm watatawala milele! Wabunge wachadema nawaonea wivu kwa maposho mawili mawili wanayoyapata!!POSHO ZA UBUNGE NA POSHO ZA KUZURURA NA PADIRI VIJIJINI



Mimi sioni kama kunatatizo kwani heri ya hao wanalipwa kwa kazi yanazozifanya na jua ya kwamba kuimarisha chama si kazi ndogo, inahitaji moyo kwani unaacha familia yako na kumbuka wakati fulani wanalala kwenye maeneo hatarishi, na jua ya kwamba wanalipwa kwa kazi stahili walizofanya na je wanoakula mishara hewa serikalini hawajulikani? Kwanini hawachukuliwi hatua? Umeona hizi za wabunge wa CDM ndizo zinakupa uchungu? Mbona huulizi pesa zinavyoliwa huko IPTL, SONGAS na kwingineko?
 
Nowadays kuwa mbunge wa chadema ni raha sana! Huku unapiga fedha za ubunge,huku unalipwa posho ya kuandamana vijiji vyote vya tanzania! Wakivimaliza hivi vijiji akina mnyika watakuwa matajiri sana,kwa siku si chini ya laki 2 kwa miaka 5,duh! Jamaa wanatumbua sana katika hii nchi maskini! Tuliowachagua wame2toselea mbali wenyewe wanatalii tu vijijini! Sijawahi kuona siasa ya kishamba namna hii duniani kote! Kwa staili hii ccm watatawala milele! Wabunge wachadema nawaonea wivu kwa maposho mawili mawili wanayoyapata!!POSHO ZA UBUNGE NA POSHO ZA KUZURURA NA PADIRI VIJIJINI

Inalipa zaidi ukiwa CCM maana huko unakula mshahara wa ukuu wa wilaya, katibu mwenezi, coordinator wa taarab na muigizaji wa komedy. Achilia mbali bonus ya kugawa kanga na t-shirt. Trust me, payroll list ya ccm inajaza zaidi ya kurasa na what is so good hakuna perfomance assessmentt!
 
user-online.png
Tolowski

Today 01:26 PM
#9
Senior Member
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png



Join Date : 28th April 2011

Posts : 70
Thanks 0 Thanked 10 Times in 6 Posts

Rep Power : 21
 
Nowadays kuwa mbunge wa chadema ni raha sana! Huku unapiga fedha za ubunge,huku unalipwa posho ya kuandamana vijiji vyote vya tanzania! Wakivimaliza hivi vijiji akina mnyika watakuwa matajiri sana,kwa siku si chini ya laki 2 kwa miaka 5,duh! Jamaa wanatumbua sana katika hii nchi maskini! Tuliowachagua wame2toselea mbali wenyewe wanatalii tu vijijini! Sijawahi kuona siasa ya kishamba namna hii duniani kote! Kwa staili hii ccm watatawala milele! Wabunge wachadema nawaonea wivu kwa maposho mawili mawili wanayoyapata!!POSHO ZA UBUNGE NA POSHO ZA KUZURURA NA PADIRI VIJIJINI

Unasaka posti kwa nguvu...unaweza ongea na mods tu wakakupa hiyo status ya JF senior/Premium/Expert member kuliko kujaza upupu tu humu!
 
  • Thanks
Reactions: LAT
mzee ukileta mambo ya kugoogle kwenye politics za kwetu huku utaula wa chuya.Jamaa wamejipanga hadi vijijini hivyo kuondoa lazima uzunguke kila kijiji kuwaondoa hawa jamaa.Na kuna msemo kuwa "Kila utakapokanyaga nimewapa huo ndio urithi wenu,Padri anatumia vizuri ahadi hii hivyo inabidi akanyage kila mahali utaona,chunguza vizuri kwenye uchaguzi uliopita popote walipopakanyaga walishinda.
 
Siwezi kuwakosoa ccm kwani wameshindikana,wangapi wamesema na wameshindwa?! Bora niwakosoe cdm ambao nawaona kidogo wapo flexible and they can take something from our words
Mimi sioni kama kunatatizo kwani heri ya hao wanalipwa kwa kazi yanazozifanya na jua ya kwamba kuimarisha chama si kazi ndogo, inahitaji moyo kwani unaacha familia yako na kumbuka wakati fulani wanalala kwenye maeneo hatarishi, na jua ya kwamba wanalipwa kwa kazi stahili walizofanya na je wanoakula mishara hewa serikalini hawajulikani? Kwanini hawachukuliwi hatua? Umeona hizi za wabunge wa CDM ndizo zinakupa uchungu? Mbona huulizi pesa zinavyoliwa huko IPTL, SONGAS na kwingineko?
 
Nowadays kuwa mbunge wa chadema ni raha sana! Huku unapiga fedha za ubunge,huku unalipwa posho ya kuandamana vijiji vyote vya tanzania! Wakivimaliza hivi vijiji akina mnyika watakuwa matajiri sana,kwa siku si chini ya laki 2 kwa miaka 5,duh! Jamaa wanatumbua sana katika hii nchi maskini! Tuliowachagua wame2toselea mbali wenyewe wanatalii tu vijijini! Sijawahi kuona siasa ya kishamba namna hii duniani kote! Kwa staili hii ccm watatawala milele! Wabunge wachadema nawaonea wivu kwa maposho mawili mawili wanayoyapata!!POSHO ZA UBUNGE NA POSHO ZA KUZURURA NA PADIRI VIJIJINI
Iwapo wewe ni Mtanzania na Umejaliwa chembechembe ya Uzalendo huna budi kusifu jitihada zinazofanywa na Chadema katika kuelimisha Jamii. Posho uliyoitaja ni ndogo sana ukilinganisha na faida inayotokana na elimu inayotolewa. Kumbuka Usemi Usemao "wajinga ndio waliwao"..Kwa maandamano ya chadema naweza kusema yanawafanya watanzania watambue kwamba "wameliwa" sana na sasa wanatakiwa wafanye maamuzi wao wenyewe kujikomboa na hali hiyo. Kazi ya chadema inayofanyika sasa inaweza kufananishwa na kumpa "bibi fimbo na Miwani ili alinde shamba lake" . Watanzania walifikia mahali wanaitwa wadanganyika lakini kwa kazi ya chadema watanzania walio wanachama na wasio wanachama wamefumbuka macho. Hivi unaweza kweli kuzungumzia posho ya safari ya mbunge wakati watu "wanatafuna mabilioni EPA,IPTL,BOT..Lazima utakua hujatambua hali halisi. Siwezi kushangaa pale Chenge alipoziita Dola milioni moja vijisenti. Dili yake ya Rada ni "CHAMTOTO" UKIANGALIA EPA,IPTL n.k. Nakushauri kama unayoyasema yanatoka akilini mwako waache watanzania wapige mzigo wa kuelimisha wale ambao walichukuliwa "for a ride" for Years..Wananchi wa MBAMBABAY,LIULI,LITUHI na sehemu zote zile ambazo hata majina yake wengi hamjawahi kuyasikia.
 
Akili zenu CCM ni posho tu. Kwenye mikutano mnasombwa na maroli na kulipana posho za Tshs.2,000 kwa kichwa. Aiiiiiiibu sana!!
 
Nowadays kuwa mbunge wa chadema ni raha sana! Huku unapiga fedha za ubunge,huku unalipwa posho ya kuandamana vijiji vyote vya tanzania! Wakivimaliza hivi vijiji akina mnyika watakuwa matajiri sana,kwa siku si chini ya laki 2 kwa miaka 5,duh! Jamaa wanatumbua sana katika hii nchi maskini! Tuliowachagua wame2toselea mbali wenyewe wanatalii tu vijijini! Sijawahi kuona siasa ya kishamba namna hii duniani kote! Kwa staili hii ccm watatawala milele! Wabunge wachadema nawaonea wivu kwa maposho mawili mawili wanayoyapata!!POSHO ZA UBUNGE NA POSHO ZA KUZURURA NA PADIRI VIJIJINI

Kazi inayofanyika hata kama inakuuma ina tija sana ndugu,unataka ndugu zako wasijue chochote kuhusu serikali yao ili waendelee kuwa utumwani?jinsi unavyojenga hoja kama ndio ungekuwa unahutubia watu hata vijana wadogo wa darasa la 6 wangekukimbia.
 
Back
Top Bottom