Bookschool
Member
- Dec 28, 2010
- 9
- 0
Ndugu zangu mi NATAMANI MWISHO DUNIA Ufike, maana Nimechoka na Matendo na Mambo yanatokea Nchii hii Tanzania, Kwani naw.......
Sukari Juu, Unga Juu, Mafuta Juu, Umeme Juu, Maji Juu, Maharage nayo kimbilio JUU. Sasa Wananchi wasio na uwezo au Kazi watafanyeje?, Na bado tena Siasa hiyo?
Nazan Mwisho wa Dunia UFIKE, Ili watu wakapumzike- Nazani YOTE haya YATAISHA.
Sukari Juu, Unga Juu, Mafuta Juu, Umeme Juu, Maji Juu, Maharage nayo kimbilio JUU. Sasa Wananchi wasio na uwezo au Kazi watafanyeje?, Na bado tena Siasa hiyo?
Nazan Mwisho wa Dunia UFIKE, Ili watu wakapumzike- Nazani YOTE haya YATAISHA.