Natamani mwisho wa dunia ufike

Natamani mwisho wa dunia ufike

Leo nlikuwa nasikiliza Radio Kasibante Mtangazaji nguli Richard Leo amethibitisha kuwa Bukoba bila sh 3000+ hupati mboga mboga aina ya Kabeji. Nikasema wallah twafwa. Manake watu wazima badala ya hata kufikiria kupunguza makali ya tatizo wao wako busy na kadi ya Slaa
 
Ndugu zangu mi NATAMANI MWISHO DUNIA Ufike, maana Nimechoka na Matendo na Mambo yanatokea Nchii hii Tanzania, Kwani naw.......

Sukari Juu, Unga Juu, Mafuta Juu, Umeme Juu, Maji Juu, Maharage nayo kimbilio JUU. Sasa Wananchi wasio na uwezo au Kazi watafanyeje?, Na bado tena Siasa hiyo?
Nazan Mwisho wa Dunia UFIKE, Ili watu wakapumzike- Nazani YOTE haya YATAISHA.
Usitende dhambi ya kukata tamaa,we pambana 2.
 
Back
Top Bottom